Hivi ni kweli pilipili ni dawa ya kupunguza kujamba?

Hivi ni kweli pilipili ni dawa ya kupunguza kujamba?

Habari wana JF.

Jana bana nilienda ugenini kusalimia, tukachoma na kula nyama pori sana sasa balaa lei nimeamka najamba sana halafu mashuzi yananuka, kuna mwamba hapa kanishauri eti nice pilipili ili kujamba kuishe.

Je ni kweli pilipili inapunguza kujamba?
Kunywa maji mengi
 
Back
Top Bottom