Hivi ni kweli Serengeti boys ni under 17?

Sio lazima wafike kidato cha 4. Wachezaji mpira wengi hawapendi au hawawezi shule.Haikuanza leo. Hivyo mpira ndio option bora ya maisha.
Sio Tanzania tu.
Kumbuka,Wasanii wengi bora ni kutoka familia duni na hasa single mothers.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna mwanangu (mtoto wa Kaka) anafikisha miaka 17 mwezi wa kumi mwaka huu. Tatizo liko wapi hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…