Hivi ni kweli Serikali yetu imeshindwa kuyajua haya na wahusika wake?

Hivi ni kweli Serikali yetu imeshindwa kuyajua haya na wahusika wake?

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau najua hakuna kinachoshindikana kwa serikali ikitaka kujua jambo au mambo yote yanayotokea kwenye hiyo nchi, labda tu iwe haitaki. Kuna haya matukio ambayo mpaka sasa serikali haijayapatia ufumbuzi;

1. Kutekwa kwa mfanyabiashara Mo mpaka sasa wahusika hawajakamatwa.

2. Kupigwa risasi kwa mwanasiasa Tundu Lissu mpaka sasa serikali ipo kimya licha ya tukio lenyewe kutokea eneo la makazi ya mawaziri lenye ulinzi na kamera.

3. Kutekwa na kupotea kwa Ben Saanane, Azori Gwanda na wengine mpaka sasa familia zinalia na kuwatafuta ndugu zao bila mafanikio na serikali ipo kimya.

4. Kuvamiwa na Clouds TV na Paul Makonda tukio ambalo ni la kijambazi lakini mpaka sasa serikali haijawakamata wahusika licha ya kufahamika.

Ukweli, wakati umefika kwa matukio hayo ambayo ni mazito na hayajapata utatuzi serikali iyafanyie uchunguzi kwa kushirikisha vyombo vya nje kwani vyombo vyetu ukweli inaonekana vimeshindwa.

malisa_gj_1675845951601604.jpg
20220125_194452.jpg
 
We mleta mada hayo yote yanajulikana. Tumechoka kuyasikia. Macho na akili zetu ni kwenye habari ya mafuta na chakula!!

Bwashee vipi mwenzetu?
 
Wadau najua hakuna kinachoshindikana kwa serikali ikitaka kujua jambo au mambo yote yanayotokea kwenye hiyo nchi, labda tu iwe haitaki. Kuna haya matukio ambayo mpaka sasa serikali haijayapatia ufumbuzi;

1. Kutekwa kwa mfanyabiashara Mo mpaka sasa wahusika hawajakamatwa.

2. Kupigwa risasi kwa mwanasiasa Tundu Lissu mpaka sasa serikali ipo kimya licha ya tukio lenyewe kutokea eneo la makazi ya mawaziri lenye ulinzi na kamera.

3. Kutekwa na kupotea kwa Ben Saanane, Azori Gwanda na wengine mpaka sasa familia zinalia na kuwatafuta ndugu zao bila mafanikio na serikali ipo kimya.

4. Kuvamiwa na Clouds TV na Paul Makonda tukio ambalo ni la kijambazi lakini mpaka sasa serikali haijawakamata wahusika licha ya kufahamika.

Ukweli, wakati umefika kwa matukio hayo ambayo ni mazito na hayajapata utatuzi serikali iyafanyie uchunguzi kwa kushirikisha vyombo vya nje kwani vyombo vyetu ukweli inaonekana vimeshindwa.

View attachment 2512009View attachment 2512017
Jibu mbona liko wazi kabisa katika hilo?

Serikali yenyewe, ndiyo ilihusika, ndiyo sababu ya kutaka kupotezea, Kila linapoongelewa jambo hilo
 
Back
Top Bottom