Hivi ni kweli sikukuu za wenzetu Waislamu siku karibu zote huangukia siku ya pili ya matarajio au huwa kuna namna?

Hivi ni kweli sikukuu za wenzetu Waislamu siku karibu zote huangukia siku ya pili ya matarajio au huwa kuna namna?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Habari Wakuu! Kwa muda mrefu sasa, nime-observe hii trend ambapo sikukuu za hawa wenzetu mara nyingi(kama sio karibu mara zote) zimekuwa zikiangukia siku ya pili ya matarajio.

Swali ni je, hii trend imekuwa ni hivi hivi hata kwa siku za nyuma au ni siku hizi tu?

Je, BAKWATA huwa wako sahihi na wale wanaotangulia kusherehekea siku moja kabla ndio huwa hawako sahihi?

Ukitaka kujiridhisha, chunguza kuanzia mwakani.

Au kuna sababu za kisayansi /kijiografia zinazopelekea mwezi mara nyingi kuandama katika maeneo mengine (uarabuni, n.k) kabla ya huku kwetu?

Binafsi siku hizi huwa sipati shida kujua sikukuu za hawa wenzetu zitaangukia lini kwani siku zote hupiga mahesabu ya siku ya pili ya matarajio ndio itakuwa sikukuu na karibu siku zote imekuwa hivyo.
 
Mapokeo ni kuandama kwa mwezi ambao haundami siku moja dunia nzima
Pia Kuna kuhitlafiana katika tafsiri ya aya Kama ilivyo kwa dini zote, mfano WaHindu billion moja wanatofautiana mara laki tatu japo kwao wote Krishna Ni Supreme Deity
 
Mapokeo ni kuandama kwa mwezi ambao haundami siku moja dunia nzima
Pia Kuna kuhitlafiana katika tafsiri ya aya Kama ilivyo kwa dini zote, mfano WaHindu billion moja wanatofautiana mara laki tatu japo kwao wote Krishna Ni Supreme Deity
Ina maana muandamo wa mwezi unatafsiriwa tofauti kwa kutumia haya hiyo hiyo moja?
 
Noi wale wasioelewa geography tu ndo hawaelewi mambo ya mzunguko wa mwezi.
 
kwani hii ya leo inategemea kuandama kwa mwezi?
 
Sina uhakika, ila na hii ilikuwa inatarajiwa kufanyika jana au leo, hivyo na yenyewe imeangukia siku ya pili ya matarajio ambayo ni leo.

In other words, It follows the same trend.
 
Habari Wakuu! Kwa muda mrefu sasa, nime-observe hii trend ambapo sikukuu za hawa wenzetu mara nyingi(kama sio karibu mara zote) zimekuwa zikiangukia siku ya pili ya matarajio.

Swali ni je, hii trend imekuwa ni hivi hivi hata kwa siku za nyuma au ni siku hizi tu?

Je, BAKWATA huwa wako sahihi na wale wanaotangulia kusherehekea siku moja kabla ndio huwa hawako sahihi?

Ukitaka kujiridhisha, chunguza kuanzia mwakani.

Au kuna sababu za kisayansi /kijiografia zinazopelekea mwezi mara nyingi kuandama katika maeneo mengine (uarabuni, n.k) kabla ya huku kwetu?

Binafsi siku hizi huwa sipati shida kujua sikukuu za hawa wenzetu zitaangukia lini kwani siku zote hupiga mahesabu ya siku ya pili ya matarajio ndio itakuwa sikukuu na karibu siku zote imekuwa hivyo.
Bakwata(Tawi la Serikali) lenye kivuli cha Dini ndilo linalofanya haya yote miaka yote nchini mwetu.

Tawi hili limepewa mamlaka ya kuwasemea Waislamu nchini, likisema sawa na Serikali imesema ndio maana likisema na serikali inajidai kusema kuwa Public Holiday(Eid) ni siku fulani.

Waislamu wanaojielewa na kufuata taratibu za Kidini hawafuati hili tawi, Eid washasherehekea jana na Dunia nzima na leo Eid pili kwa Dunia yote.
 
Je, BAKWATA huwa wako sahihi na wale wanaotangulia kusherehekea Sikh moja kabla ndio huwa wako sahihi?
Hili jambo ingawaje linakuzwa sana lakini kwa anayefahamu ni jambo dogo sana... huwa lina-trend kwa sababu tu linahusisha holidays.

IPO HIVI...

Kuna HADITHI inasema Mtume alinukuliwa akisema (sio nukuu rasmi)."Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi, vinginevyo iwe kwa kutimia siku 30"

Tafsiri yake ni nini!

Msianze kufunga au kula Idd hadi mhakikishe mwezi umeonekana. Lakini kama zimetimia siku 30 na mwezi hamjauona, basi siku inayofuata fungeni tu au ufungueni tu kwa sababu mweandamo hauwezi ku-exceed siku 30.

Wakati hadithi hiyo inatolewa ilizingatia pia mazingira ya Kijiografia, na kama sikosei, ilitaja umbali... kwamba, hata kama Dar hujaonekana, lakini Tabora umeonekana na mazingira yetu ya kijiografia yanafanana, basi watu wa Dar watafuata habari za Tabora...

NOW...

BAKWATA wao wanashikilia ile conservative definition of the hadith... kwamba, fungeni na fungueni kwa kuona mwezi au kama zimetimia siku 30. Na pia usipoonekana kwenye mazingira yao watafuta habari za maeneo ya jirani...

WENGINE...

Hawa wengine hoja yao ni kwamba, hadith ilitoka zama ambazo hapakuwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia, na ndo maana umbali uliokuwa defined ulikuwa mfupi. Kwahiyo, hivi sasa mwezi unaweza kuonekana Uturuki, na kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, hata watu wa Mpindimbi watapata habari za kuonekana mwezi kwa sababu DUNIA INA MWEZI MMOJA TU!

Aidha, wanadai, kwa location ya Middle East na East Africa, HAIWEZEKANI mwezi uonekane Saudia halafu East Africa usionekane... from geographic point of views coz' hata masaa tunafanana!

REMEMBER... hiyo ni hadith na sio QURAN.

Kwa maana hiyo, Muumini anaweza kutumia "Mwezi wa BAKWATA" au "Mwezi wa Saudi Arabia" kwa sababu almost karibu wote wapo sawa!!

BUT... I repeat, BUT...

Kuna jambo MAJORITY HAWAFAHAMU....

Saudi Arabia HAWATEGEMEI mwandamo wa mwezi perse bali wanatumia the so-called ASTRONOMICAL CALUCULATIONS.

BAKWATA wanaotegemea mwandamo wa mwezi kwa 100%, ukiwauliza tarehe 29/07/2028 ya kizungu itakuwa tarehe ngapi kwa mwezi wa Kiislamu, hawawezi kukupa jibu lakini wanaotumia astronomical calculations watakupa jibu!

Kwa maana nyingine, hata leo hii ukiwauliza Saudi Arabia mwakani Eid itakuwa tarehe ngapi kwa kizungu, WATAKUAMBIA!!

So, unless patokee na kutofautiana kwa wazi kabisa kati ya mwandamo na astronomical calculations lakini Saudi Arabia wanafahamu tarehe ya Eid hata kabla hawajaanza kufunga!!!

Kwa mfano, hii Eid iliyosaliwa leo na BAKWATA, wanaotumia Astronomical Calculations wanakuambia mwaka 2025 itakuwa June 9 and 10
Bakwata.png
 
Mapokeo ni kuandama kwa mwezi ambao haundami siku moja dunia nzima
Pia Kuna kuhitlafiana katika tafsiri ya aya Kama ilivyo kwa dini zote, mfano WaHindu billion moja wanatofautiana mara laki tatu japo kwao wote Krishna Ni Supreme Deity
Mwezi unawezaje kuandama kwa siku mmoja Dunia nzima ,huku kila.Nchi inavipindi vyake vya mwezi,jua,na mvua?
 
Namimi nashangaa wale wanaopokea taalifa za mwezi saudi arabia na kutngulia kufunga au kufungua
Hivi hii anga ya nchi yetu na majirani zeta lina dhambi gani mpaka mwezi usionekane kabla ya Saudia
 
Hili jambo ingawaje linakuzwa sana lakini kwa anayefahamu ni jambo dogo sana... huwa lina-trend kwa sababu tu linahusisha holidays.

IPO HIVI...

Kuna HADITHI inasema Mtume alinukuliwa akisema (sio nukuu rasmi)."Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi, vinginevyo iwe kwa kutimia siku 30"

Tafsiri yake ni nini!

Msianze kufunga au kula Idd hadi mhakikishe mwezi umeonekana. Lakini kama zimetimia siku 30 na mwezi hamjauona, basi siku inayofuata fungeni tu au ufungueni tu kwa sababu mweandamo hauwezi ku-exceed siku 30.

Wakati hadithi hiyo inatolewa ilizingatia pia mazingira ya Kijiografia, na kama sikosei, ilitaja umbali... kwamba, hata kama Dar hujaonekana, lakini Tabora umeonekana na mazingira yetu ya kijiografia yanafanana, basi watu wa Dar watafuata habari za Tabora...

NOW...

BAKWATA wao wanashikilia ile conservative definition of the hadith... kwamba, fungeni na fungueni kwa kuona mwezi au kama zimetimia siku 30. Na pia usipoonekana kwenye mazingira yao watafuta habari za maeneo ya jirani...

WENGINE...

Hawa wengine hoja yao ni kwamba, hadith ilitoka zama ambazo hapakuwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia, na ndo maana umbali uliokuwa defined ulikuwa mfupi. Aidha, wanadai, kwa location ya Middle East na East Africa, HAIWEZEKANI mwezi uonekane Saudia halafu East Africa usionekane... from geographic point of views.

REMEMBER... hiyo ni hadith na sio QURAN. Kwa maana hiyo, Muumini anaweza kutumia "Mwezi wa BAKWATA" au "Mwezi wa Saudi Arabia" kwa sababu almost karibu wote wapo sawa!!

BUT... I repeat, BUT...

Kuna jambo MAJORITY HAWAFAHAMU....

Saudi Arabia HAWATEGEMEI mwandamo wa mwezi perse bali wanatumia the so-called ASTRONOMICAL CALUCULATIONS.

BAKWATA wanaotegemea mwandamo wa mwezi kwa 100%, ukiwauliza tarehe 29/07/2028 ya kizungu itakuwa tarehe ngapi kwa mwezi wa Kiislamu, hawawezi kukupa jibu lakini wanaotumia astronomical calculations watakupa jibu!

Kwa maana nyingine, hata leo hii ukiwauliza Saudi Arabia mwakani Eid itakuwa tarehe ngapi kwa kizungu, WATAKUAMBIA!!

So, unless pawe na kutofautiana kwa wazi kabisa kati ya mwandamo na astronomical calculations lakini Saudi Arabia wanafahamu tarehe ya Eid hata kabla hawajaanza kufunga!!!

Kwa mfano, hii Eid iliyosaliwa leo na BAKWATA, wanaotumia Astronomical Calculations wanakuambia mwaka 2025 itakuwa June 9 and 10
View attachment 2286068
Umedadavua vizuri sana na ni wazi kuna kundi linalokesea hapa katika kuamua siku sahihi ya kusherekea Eid.

Katika aya yako ya mwisho kwenye hili bandiko lako, umeonyesha kuwa huko Uarabuni, sikukuu hii ya leo husherehekewa kwa siku mbili. Kama ni hivyo, mbana hapa kwetu sherehe hii huwa ni ya siku moja tu?

Ile ya kufungua ndio huwa ya siku mbili ila hii ya leo huwa ni ya siku moja- navyofahamu.
 
Tatzo nafkir n masaa waarabu wako mbele yetu kimasaa
 
Bakwata(Tawi la Serikali) lenye kivuli cha Dini ndilo linalofanya haya yote miaka yote nchini mwetu.

Tawi hili limepewa mamlaka ya kuwasemea Waislamu nchini, likisema sawa na Serikali imesema ndio maana likisema na serikali inajidai kusema kuwa Public Holiday(Eid) ni siku fulani.

Waislamu wanaojielewa na kufuata taratibu za Kidini hawafuati hili tawi, Eid washasherehekea jana na Dunia nzima na leo Eid pili kwa Dunia yote.
Mkuu acha mawazo hayo kuna siku mwezi ushaonekana wazii halafu bakwata wakaukataa ?

Na selikali inamaslahi gani kupangia waislam kufunga na zina pishana siku 1 tu

Mimi sioni tatizo katika hili mana mwezi ni wa Mungu na mbingu ni yake na hua unaonekana pande zote tatizo ni subra tu

Hao bakwata hawana uwezo wakuficha mwezi kuoneka mbaya zaidi hawawi pekee yao kuna nchi zina fwatana pia au na hizo nchi zipo chini ya Selikali yetu?
 
Hongela sana mkuu kwa hii elimu
Hili jambo ingawaje linakuzwa sana lakini kwa anayefahamu ni jambo dogo sana... huwa lina-trend kwa sababu tu linahusisha holidays.

IPO HIVI...

Kuna HADITHI inasema Mtume alinukuliwa akisema (sio nukuu rasmi)."Fungeni na fungueni kwa kuuona mwezi, vinginevyo iwe kwa kutimia siku 30"

Tafsiri yake ni nini!

Msianze kufunga au kula Idd hadi mhakikishe mwezi umeonekana. Lakini kama zimetimia siku 30 na mwezi hamjauona, basi siku inayofuata fungeni tu au ufungueni tu kwa sababu mweandamo hauwezi ku-exceed siku 30.

Wakati hadithi hiyo inatolewa ilizingatia pia mazingira ya Kijiografia, na kama sikosei, ilitaja umbali... kwamba, hata kama Dar hujaonekana, lakini Tabora umeonekana na mazingira yetu ya kijiografia yanafanana, basi watu wa Dar watafuata habari za Tabora...

NOW...

BAKWATA wao wanashikilia ile conservative definition of the hadith... kwamba, fungeni na fungueni kwa kuona mwezi au kama zimetimia siku 30. Na pia usipoonekana kwenye mazingira yao watafuta habari za maeneo ya jirani...

WENGINE...

Hawa wengine hoja yao ni kwamba, hadith ilitoka zama ambazo hapakuwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia, na ndo maana umbali uliokuwa defined ulikuwa mfupi. Kwahiyo, hivi sasa mwezi unaweza kuonekana Uturuki, na kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, hata watu wa Mpindimbi watapata habari za kuonekana mwezi kwa sababu DUNIA INA MWEZI MMOJA TU!

Aidha, wanadai, kwa location ya Middle East na East Africa, HAIWEZEKANI mwezi uonekane Saudia halafu East Africa usionekane... from geographic point of views coz' hata masaa tunafanana!

REMEMBER... hiyo ni hadith na sio QURAN.

Kwa maana hiyo, Muumini anaweza kutumia "Mwezi wa BAKWATA" au "Mwezi wa Saudi Arabia" kwa sababu almost karibu wote wapo sawa!!

BUT... I repeat, BUT...

Kuna jambo MAJORITY HAWAFAHAMU....

Saudi Arabia HAWATEGEMEI mwandamo wa mwezi perse bali wanatumia the so-called ASTRONOMICAL CALUCULATIONS.

BAKWATA wanaotegemea mwandamo wa mwezi kwa 100%, ukiwauliza tarehe 29/07/2028 ya kizungu itakuwa tarehe ngapi kwa mwezi wa Kiislamu, hawawezi kukupa jibu lakini wanaotumia astronomical calculations watakupa jibu!

Kwa maana nyingine, hata leo hii ukiwauliza Saudi Arabia mwakani Eid itakuwa tarehe ngapi kwa kizungu, WATAKUAMBIA!!

So, unless patokee na kutofautiana kwa wazi kabisa kati ya mwandamo na astronomical calculations lakini Saudi Arabia wanafahamu tarehe ya Eid hata kabla hawajaanza kufunga!!!

Kwa mfano, hii Eid iliyosaliwa leo na BAKWATA, wanaotumia Astronomical Calculations wanakuambia mwaka 2025 itakuwa June 9 and 10
View attachment 2286068
Naamini pia tulisha ambiwa Dunia itakua kiganjani hivyo taalifa zitakua wazi papo hapo ila hatukuambiwa zipo zama tuta funga kwa mwezi mmoja nna hakika aliesema hajajisahau mana hasemi ila alio amrishwa kusema.

Nakushukuru kwa kuniongezea msimamo
 
Umedadavua vizuri sana na ni wazi kuna kundi linalokesea hapa katika kuamua siku sahihi ya kusherekea Eid.

Katika aya yako ya mwisho kwenye hili bandiko lako, umeonyesha kuwa huko Uarabuni, sikukuu hii ya leo husherehekewa kwa siku mbili. Kama ni hivyo, mbana hapa kwetu sherehe hii huwa ni ya siku moja tu?

Ile ya kufungua ndio huwa ya siku mbili ila hii huwa ni ya siku moja.
Sherehe kuwa siku moja au 10 wala sio issue... hilo ni suala la Mamlaka za Kidunia kuamua, na kwahiyo idadi ya siku zinatofautiana kutoka nchi moja hadi nyingine.

Jambo la msingi katika hili ni siku ngapi za LAZIMA watu wanatakiwa kufunga; na kinachofuata baada ya hapo ni sherehe tu, na ile siku ya kwanza, mathalani after Ramadhani, siku ya Eid Mosi, ile siku ni HARAMU kufunga, lakini siku inayofuata unaweza kufunga funga yoyote uitakayo, na kuendelea na shughuli zako zingine kama kawaida.
 
Sherehe kuwa siku moja au 10 wala sio issue... hilo ni suala la Mamlaka za Kidunia kuamua, na kwahiyo idadi ya siku zinatofautiana kutoka nchi moja hadi nyingine.

Jambo la msingi katika hili ni siku ngapi za LAZIMA watu wanatakiwa kufunga; na kinachofuata baada ya hapo ni sherehe tu, na ile siku ya kwanza, mathalani after Ramadhani, siku ya Eid Mosi, ile siku ni HARAMU kufunga, lakini siku inayofuata unaweza kufunga funga yoyote uitakayo, na kuendelea na shughuli zako zingine kama kawaida.
Asante nimekupata vyema.
 
Namimi nashangaa wale wanaopokea taalifa za mwezi saudi arabia na kutngulia kufunga au kufungua
Hivi hii anga ya nchi yetu na majirani zeta lina dhambi gani mpaka mwezi usionekane kabla ya Saudia
Hata Mimi najiulizaga.
Leo asubuhi mwezi nimeiuona, kwanini waislamu huu hawautaki wanataka mpaka Saudia waseme wameuona ndio na Hawa wa confirm?
 
Back
Top Bottom