Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari Wakuu! Kwa muda mrefu sasa, nime-observe hii trend ambapo sikukuu za hawa wenzetu mara nyingi(kama sio karibu mara zote) zimekuwa zikiangukia siku ya pili ya matarajio.
Swali ni je, hii trend imekuwa ni hivi hivi hata kwa siku za nyuma au ni siku hizi tu?
Je, BAKWATA huwa wako sahihi na wale wanaotangulia kusherehekea siku moja kabla ndio huwa hawako sahihi?
Ukitaka kujiridhisha, chunguza kuanzia mwakani.
Au kuna sababu za kisayansi /kijiografia zinazopelekea mwezi mara nyingi kuandama katika maeneo mengine (uarabuni, n.k) kabla ya huku kwetu?
Binafsi siku hizi huwa sipati shida kujua sikukuu za hawa wenzetu zitaangukia lini kwani siku zote hupiga mahesabu ya siku ya pili ya matarajio ndio itakuwa sikukuu na karibu siku zote imekuwa hivyo.
Swali ni je, hii trend imekuwa ni hivi hivi hata kwa siku za nyuma au ni siku hizi tu?
Je, BAKWATA huwa wako sahihi na wale wanaotangulia kusherehekea siku moja kabla ndio huwa hawako sahihi?
Ukitaka kujiridhisha, chunguza kuanzia mwakani.
Au kuna sababu za kisayansi /kijiografia zinazopelekea mwezi mara nyingi kuandama katika maeneo mengine (uarabuni, n.k) kabla ya huku kwetu?
Binafsi siku hizi huwa sipati shida kujua sikukuu za hawa wenzetu zitaangukia lini kwani siku zote hupiga mahesabu ya siku ya pili ya matarajio ndio itakuwa sikukuu na karibu siku zote imekuwa hivyo.