Hivi ni kweli suala la Katiba Mpya ni suala la Rais kulikubali au kulikataa?

Ndiyo. Katiba iliyopo sasa inampa rais u-nusu Mungu. Ni Mngu katika nyama.
 
Umenena vizuri mkuu. " Sisi wengine kama wananchi kazi yetu inaishia kuipush serikali kwa hoja ili ione umuhimu wa kufanya huo mchakato na sio zaidi ya hapo"

Katiba mpya kamwe haipatikani kwa kuwatumia wavuta bhangi wamtukane rais. Mchakato huu kwa miaka hii mitano ulizikwa rasmi pale Mdude chadema alipomtukana rais.

Tatizo Chadema uelewa wao wa mambo sijui ukoje.
 
Mfumo ni mbovu sn mkuu
 
Mpuuzi wewe
 
Huo uoga na upumbavu muuache mumwachie nani?

Rais ameapa kwa mujibu wa katiba iliyopo, kuilinda na kuitetea katiba hiyo….. sio hiyo porojo ya kusadikika mnayoita Katiba Mpya.
 
Wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi!

Rais yupo chini ya wananchi. Hayupo juu ya wananchi.

Na ndo maana wananchi wanaweza kumtoa Rais madarakani.

Unabisha?
Umtoe Raisi madarakani kwa Tanzania hii au ipi mkuu.
 
Nchi yetu ni ngumu Sana usaliti na woga vinaongoza akili za walio wengi hasa viongozi wetu ambao wangekuwa mstari wa mbele ndiyo kwanza wanatugeuka.
 
Alipokuwa Gerezani mlifanya nini ili kumsaidia?
Kazi yenu kubwa ni kulalamika tu na kusubiri mfanyiwe, acha afanye atakacho wabongo hawana maana
 
Kwa mfumo uliopo itakua ngum kwasababu... Kwanza walioshika dola hawatak kusikia kitu kinaitwa katiba mpya! Pili.. hilo bunge kinafuata mkuu kasema nn na hataki nn! Sasa for situation hiyo katiba inapatikanaje? Labda dude liamshwe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kama Rais aliweza kuamrisha Mbunge wa upinzani apigwe risasi 32 mchana kweupee bila hata tone la aibu, na upelelezi ukazuiwa na hakuna yeyote aliyewajibishwa, atashindwa nini kuamua kama katiba iwepo ama isiwepo?
 
umewaza kama walivyowaza chadema, wewe unafikiri dai la katiba ni la chadema wakati chadema wanaamini ccm ndo wanaweza amua tuwe na katiba! Dai la katiba nilawatanzania wote bila kujali itikadi ya vyama wala dini kama lisu amesema hivyo yupo sahihi, kinachopaswa niwananchi kupaza sauti kwapamoja kudai katiba ccm ni kikundi ndani ya tanzania tukiamua tunaweza, tatizo tunaamini anaepaswa kudai katiba ni chadema,wakati kodi haikusanywi kwa kadi za vyama huduma mashuleni,mahospitalini,masokoni hatutumii wala hatuhudumiwi kwa kadi za vyama,tunaponyimwa haki zetu au kupewa haki zetu hawaangalii kadi za vyama ila tunapodai haki tunataka au tunadhani ni swala la chadema''
 
Ni kweli rais ana madaraka makubwa sana. Kumbuka Kikwete alivyoingia bungeni na kuvuruga kazi yote iliyokuwa imefanywa na bunge la katiba
 
Hujasikia Mbowe amesema ni siri atakuwa anatoa kidogo kidogo, na amesema katiba mpya sio muhimu kwa sasa.

Nawaonea huruma wale vijana na tisheti zao #katibampya watavalia wapi tisheti zao.
Hivi katiba mpya ni hitaji la chadema tu ama ni hitaji la wananchi?.
Naona shida yako wewe ni Chedema as if wananchi tuliipa Chedema jukumu la kuhakikisha katiba napatikana kitu ambacho si kweli.
Naona una shida binafsi na Chedema na sio katiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…