Hivi ni kweli Tanzania kulikuwa na msanii mmoja tu wa maigizo?

Kanumba angekuwa hai nadhani ndio angekuwa celebrity mwenye mtonyo mrefu zaidi hapa bongo!
 
Kanumba alikuwa na uthubutu. Kanumba alikuwa ana jituma sana... Kanumba alikuwa serious sana...

Hawa tulio nao wamebaki kufanya sherehe tuu...
Sawa sawa, Pamoja na kujipendekeza kwa chama tawala..!
 
!
!
Ngojea nipite tu. Mi Bongo movie waaalah afadhali hata bongo flavor kwa maana ya muziki ila hawa wanawake waobesha mapaja na wanaume wapaka kalikiti walaaaa sinaga mazoea nao
 
Jamaa alikuwa mbunifu na mwenye kujituma sana..RIP Kanumba
 
Aaah huyo anafanya kuchekesha watu tu
 
Mkuu watanzania ni mabingwa wa kukosoa, yaani unaweza kufanya kitu kizuri wenyewe watafuta sehemu ya kukosoa tuu. Ndio maana kuna watu wanasema usipokata tamaa TZ hakuna mahali duniani unaweza kukata tamaa.
 
mungu alitupa kitu kimoja kimoja kwenye bongo movie alitupa kanumba ndo hivyo kashamchukua kwenye music yupo yule mmanyema wa tandale na kwenye soka yupo mndengereko wa mbagala mkina pazi
 
Sanaa Tanzania ni danguro na genge la wahuni ukitaka dada yako kila siku akatwe mruhusu tu kuigiza
Na ushahidi mzuri tu yule babu Jengua anawakata watoto wadogo tu.
Babu Jengua, kumbe anawakata eeeh!
 
Kanumba alikuwa na uthubutu. Kanumba alikuwa ana jituma sana... Kanumba alikuwa serious sana...

Hawa tulio nao wamebaki kufanya sherehe tuu...

Nyie si ndio mnawafanyisha hizo sherehe?

Kiasi sasa wasanii wa Tanzania ndio wanaongoza East Africa kwa kuonekana mabwege.
 
Kanumba alikuwa akiwapa changamoto wasanii wengine, hivyo sasa amekufa hakuna wakuwapa changamoto wengine hivyo ndio maana wengine wanaamua kuwa waimbaji taarabu na bongo …f
 
Ye mwenyewe kwenye uigizaji alikuwa wakawaida tu,alichojitahidi ni on the business side
 
Hivi Shamsa ford kaolewa na nani yule?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…