Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa, Pamoja na kujipendekeza kwa chama tawala..!Kanumba alikuwa na uthubutu. Kanumba alikuwa ana jituma sana... Kanumba alikuwa serious sana...
Hawa tulio nao wamebaki kufanya sherehe tuu...
Yaani[emoji24] [emoji24] [emoji24]Unatukumbusha machungu
Aaah huyo anafanya kuchekesha watu tuMgombea furani wa uraisi alisema akiwa Rais kipaumbele chake ni elimu, elimu, elimu
Unafikilia kwanini kanumba aliweza tusua vidato sita akivyopitia haikuwa magumashi ilimjenga kielimu kweli
Hakuwa muoga wa kuthubutu Hakuwa muoga wa hadhira wala kukosolewa hiyo ndio sifa moja wapo ya mtu aliyepitia darasani na elimu ikamkomboa
Sasa kwa unachouliza nazani jibu umepata wasanii wa sasa waoga kujaribu waoga kukosea waoga kukosolewa
Mfano unamuona shilole na broken English yake wenzake wanaojifanya wanajua kingereza na kumcheka mwisho wa Siku watasema shikamo shilole sababu shilole atakuwa mzuri katika lugha na atakuwa anajiamini sababu anachofanya shilole sasa ndio sifa moja wapo ya mtu anayejifunza lugha ya Pili kuwa ongea kosolewa usisite ongea mwisho wa Siku atatambua makosa nakuwa mzuri katika lugha zaidi ya kina wema sepetu
Hiyo kitu inakuwaga ngumu Sana kwa wanadamuLaiti sifa zote hizi angemwagiwa akiwa hai...!!
Mkuu watanzania ni mabingwa wa kukosoa, yaani unaweza kufanya kitu kizuri wenyewe watafuta sehemu ya kukosoa tuu. Ndio maana kuna watu wanasema usipokata tamaa TZ hakuna mahali duniani unaweza kukata tamaa.Huyu ndugu, nakumbuka interview yake moja aliyoifanya baada ya kutoka kutembelea jumba la Big Brother south africa, alilalamika sana namna watanzania walivyokua wakimkejeli kutokana na kukosea kwake kuongea lugha ya kingereza. Jamaa alilalamika kwamba watanzania badala ya kumpa support kwa kazi nzuri aliyokua akiifanya ya kukuza sanaa na jina la nchi, ndio kwanza wanamkatisha tamaa kwa kuendekeza tamaa, akamalizia kwa kusema kwamba " Kama watu hawaoni jitihada anazozifanya, ipo siku miti na mawe vitazungumzia kazi alizokua akizifanya" Ni kweli alijitahidi sana.
Pengo lake halina spare,Yaani[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Babu Jengua, kumbe anawakata eeeh!Sanaa Tanzania ni danguro na genge la wahuni ukitaka dada yako kila siku akatwe mruhusu tu kuigiza
Na ushahidi mzuri tu yule babu Jengua anawakata watoto wadogo tu.
Ni kwa sababu sisi ni wanafki.Hiyo kitu inakuwaga ngumu Sana kwa wanadamu
Watoto wanataka wakauze sura kwenye movie hivyo wanafosi kwa njia yeyote hile jamaa anawatatua tuta kama burdoza.Babu Jengua, kumbe anawakata eeeh!
Kanumba alikuwa na uthubutu. Kanumba alikuwa ana jituma sana... Kanumba alikuwa serious sana...
Hawa tulio nao wamebaki kufanya sherehe tuu...
Kweli na wivu mwingiNi kwa sababu sisi ni wanafki.
Tuna chuki za ndani kwa ndani dhidi ya mafanikio ya watu!Kweli na wivu mwingi