Hivi ni Kweli waathirika wa ukimwi wanaweza kujifungua Mtoto asie na maambukizi na Mtoto huyo akakua vizuri

Wadau naomba kuuliza hivi Freemasons na Illuminati huwa wanapata kweli maambukizi ya h.i.v postive au ni kwa raia wa kawaida tu?
 
Nimewahi kujiuliza ni kwa nini watu wanaanza kukonda na kufa baada tu ya kupima na kupewa majibu? Lakini mtu asipopima anadunda tu.
 
Manii haibebi kirusi??
kama Baba ana HIV inakuaje hapo Mtoto azaliwe bila HIV??
 
Basi Kuna ugonjwa halisi ambao inasababisha upungufu wa Kinga mwilini ila umefichwa au
Mpaka umri huo hujui Kinga za Mwili hushuka kwa sababu gani??? [emoji15]
-Stress ndio maana mtu akiambiwa ana VVU aanza kukonda na kuumwa

-Lishe duni hupati mlo kamili washindia mihogo na dona kwa kachumbari, matunda na mboga mboga kwako mwiko, nyama haramu, wategemea nini

- Utumiaji wa Madawa Makali kwa muda mrefu hayo ma Arv ndio sumu kubwa, madawa ya presha, sukari, kansa, n.k

Hakuna mtu amewahi kufa kwa HIV ila TB, KANSA, SUKARI, PRESHA, MOYO, MALARIA, KICHWA, INI, n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…