Umeongea kweri tupuTatizo ni moja, wanawake mkishaachana wanatia chuki mbaya kwa watoto, Kuna siku niligindua hili hivyo nikarudi kwa Mzee Kama kawa, hata nikashangaa yaani kumsogelea tu , kila kitu akanisaidia shule, gharama za chuo, mpaka leo tuko close Sana, simu nikilishwa mapema but NASHUKURU God alinifumbua kwamba so kila Mara wazee hawatupendi but lipo lingine nyuma ya yote
Pole sanaMie mtoto kaambiwa nimekufaa ..
Asante sana.Pole sana
Mtoto anakuwa anajua babake ashavuta kitambo 😀😀😀Hatari hii
Imekuwa kama fashion, sasa sijuii ni kweli au ndo muendelezo wa kina baba kutengwa kwenyw kula mema ya watoto wao? jana nilikuwa na sikiliza kipindi cha the switch wasafi pale kwenye segment ya cha kijani mama wa msanii mario alikuwa ana hojiwa akasema amemlea mwanae peke yake baba yake alimtelekeza
Diamond naye baba yake alimtelekeza, Ommy dimpoz baba yake naye alimtelekeza, Mwana FA naye baba alimtelekeza, Ney wa mitego kila siku anamuonesha mama ake tu sijawahii kumuona baba, inatia mashaka kweli kama ni tabia zetu kweli wakina baba tuache aise
Ni upuuzi wa mwanamke (mama) kuhamisha chuki za ugomvi wao kwa mtoto.
Hakuna mzazi asiyependa kuishi na mwanaye wa kumzaa mwenyewe, narudia tena huyo baba hayupo na hatokuwepo kwa mazingira ya kawaida.
Ni upuuzi wa mwanamke (mama) kuhamisha chuki za ugomvi wao kwa mtoto.
Hakuna mzazi asiyependa kuishi na mwanaye wa kumzaa mwenyewe, narudia tena huyo baba hayupo na hatokuwepo kwa mazingira ya kawaida.
Ukiona mwanaume anatelekeza mtoto wake basi ujue kuna jambo ambalo sio la kawaida.Kama baba yako kakulea vizuri usiongee kwa kauli jumuishi. Kuna wazee ni hatari halafu mbaya zaidi huwa wakifika uzeeni wanatoswa na vimada vyao anabakia kulaumu watoto wamemtelekeza.
Kweli aseeNi upuuzi wa mwanamke (mama) kuhamisha chuki za ugomvi wao kwa mtoto.
Hakuna mzazi asiyependa kuishi na mwanaye wa kumzaa mwenyewe, narudia tena huyo baba hayupo na hatokuwepo kwa mazingira ya kawaida.
Ukifuatilia visa vya hao watoto utagundua nachosema kina mashiko.Mkuu labda unatolea mfano huko kwenu Oystersbay, lakini kwetu uswahilini kuna watoto kibao wanataabika baba zao hawajulikani walipo. Utakuta kwenye kibanda umiza wamejazana wanalala kama wapo Big Brother. Kwa hali ile nani anaweza kukataa msaada wa baba?
Ukifuatilia visa vya hao watoto utagundua nachosema kina mashiko.
Halafu huko Ostersbay ndo wapi mkuu....karibu kwetu Ndono - Uyui ujionee ukarimu wetu.
Kwa akili ya Hemedy hv hata ungekua wewendo Baba yake, usingetelekeza kweli?Na Hemed phd nimemsikia Jana alitelekezwa na baba yake
Ukifuatilia visa vya hao watoto utagundua nachosema kina mashiko.
Halafu huko Ostersbay ndo wapi mkuu....karibu kwetu Ndono - Uyui ujionee ukarimu wetu.
Nikitazamaga watu wengi waliofanikiwa mfno ktk utajiri mkubwa, vipaji vya michezo au uimbaji, soccer na wengineo wengi ni watu waliotelekezwa na BABA zao,,
akina mama mtuambie kuna siri gani mtoto akilelewa na mzazi mmoja hasa MAMA uwa ndio vinara ktk sehemu nyingi tofaut tofaut
Baba yako kakulea wee kuanzia chekechea mpaka chuo, kwanini akutelekeze wakati tayari anakaribia kula matunda? Lazima kuna sababu sio bure,kuna rafiki jirani yetu amegoma kabisa kumpeleka mtoto chuo,sio kwamba hana uwezo la hasha ,Kijana kaanza kibri anaingilia ugomvi wa wazazi wake halafu anakuwa upande wa mama yake ,unatarajia nini hapo?Mimi baba yangu alinitelekeza nikiwa chuo nilipambana still baadae nkampa nafasi yake kama baba..nadhani hii ni same na kinachotokea katika maisha ya hawa wasanii sidhani kama wanawatelekeza from day one kuna kipindi tu cha maisha kinatokea baba kashikwa na mwanamke nje anashindwa kukumbuka familia yake mimi baada ya kugundua hivyo niliamua kusamehe tu maana nkajua mzee hakuwa tena kwenye akili zake
Sio wakiachana tu hata baba akioa mke wa pili tu inakuwa shida,Bibi mkubwa anaanza kuwanywesha sumu watoto mwisho wa siku watoto wanamuona baba si lolote wala si chochote,na baba naye akiona hivyo lazima aonyeshe ubaba wake anakata laini,na anaweza akawatamkia kuanzia leo mama yenu ndio baba yenu,tusijuaneTatizo ni moja, wanawake mkishaachana wanatia chuki mbaya kwa watoto, Kuna siku niligindua hili hivyo nikarudi kwa Mzee Kama kawa, hata nikashangaa yaani kumsogelea tu , kila kitu akanisaidia shule, gharama za chuo, mpaka leo tuko close Sana, simu nikilishwa mapema but NASHUKURU God alinifumbua kwamba so kila Mara wazee hawatupendi but lipo lingine nyuma ya yote