Hivi ni kweli wasanii wengi wa Tanzania baba zao waliwatelekeza?

Hivi ni kweli wasanii wengi wa Tanzania baba zao waliwatelekeza?

Hapa kuna ukweli, wababa tunajisahaulisha na michepuko badae unakuta watoto wametoboa na wewe huna chochote unabaki kulaani tu watoto kwamba wamekutelekeza wakati wewe ndio ulisababisha yote hayo.

Kuna cha kujifunza hapa.
Yaani hapa hawakumbuki wala kulisema, wengi akili yote huishia kwa michepuko, siku yanamshinda huko ndiyo anamkumbukà mkewe anakuta tayari.watoto walishakuwa na kujitafutia, laana zinanza, unajiuliza mbona yeye alipomkimbia mkewe na watoto hawakumlaani kapiga mbizi huko mpaka kachoka?
 
Mkuu labda unatolea mfano huko kwenu Oystersbay, lakini kwetu uswahilini kuna watoto kibao wanataabika baba zao hawajulikani walipo. Utakuta kwenye kibanda umiza wamejazana wanalala kama wapo Big Brother. Kwa hali ile nani anaweza kukataa msaada wa baba?
Wanahesabu umri wakiona miaka sasa zaidi ya 20 wataanza kijileta kwa watoto
 
Kama baba yako kakulea vizuri usiongee kwa kauli jumuishi. Kuna wazee ni hatari halafu mbaya zaidi huwa wakifika uzeeni wanatoswa na vimada vyao anabakia kulaumu watoto wamemtelekeza.
Kuna Kaka aliondoka na kumwambia mkewe naenda kuoa huko, kamuacha mkewe na mtoto dada kapambana mwanaye kamaliza STD 7 kafaulu Baba anapita mule na bodaboda, form one Mzee kagoma kutoa pesa , ikabidi huyo dada aongee Kaka zake kumsaidia baada ya miaka 2 anamwambia mwanaye shule ya nini halafu unamsikiliza sana mama yako, kazi zakufanya zipo nyingi, mtoto kampuuza akamaliza shule kwa hisani ya wajomba, Baba anabadilisha michepuko huko! Subili mtoto aje kupata kazi ndiyo wale wababa walaamishi !
 
Ukiona mwanaume anatelekeza mtoto wake basi ujue kuna jambo ambalo sio la kawaida.
Achilia mbali kulelewa vizuri, mimi pia ni mzazi najua nacho kiandika mkuu.
Sio kweli acha kutetea maovu kama una ndugu zako wa kike wewe andaa pesa zakusomeshea wajomba zako
 
Domo alipokuwa na wema alikuwa karibu sana na babaake ...alipo achana na wema akamletea babaake chuki
 
Huyo hakutelekezwa na baba ya yake, mama ndiye aliyekimbia na watoto kwenda kuolewa kwingine baada ya hali ya uchumi ya mumewe kuwa ngumu
Aaaaiiiseee! Kwa hiyo Hemed alikuwa anajaribu kumu cover up mama yake? Huo uchotara wa Hemed unatokana na mama yake au baba yake? Mimi nilimsikia tu anamponda baba yake E tv alikuwa anafanyiwa mahojiano na Jonijo. Nazani siku hiyo alikuwa amevuta bangi pia maana alikuwa anajisifia yeye ni mzuri( good looking),pia anapenda sex( kufanya ngono), pia yuko vzr kitandani( good in bed),na kwamba anaweza kumiliki hata wanawake mia 9 wote wakawa daraja moja( main chicks).
 
Nawaza kati ya haya:
1. Wametoka kwa single mothers - ni kawaida kwa dunia ya sasa kumpa mimba binti na kusepa. Wadada wengi wanajali raha ya muda wasiwaze matokeo ya starehe hizi.

2. Mimba zenye utata - zamani hizo hakukuwa na DNA test, hivyo mwanamke akiwa mwingi wa habari alikataliwa na wote pale alipopeleka ujauzito. Hii inatokana na tabia mbovu ya mwanamke mwenyewe.

3. Kuzaa na mwanamume ambaye hakuwa tayari zaidi ya kutaka starehe tu. Baadhi ya wanawake hudanganywa kuwa wakibeba mimba ya mwanamume wataweza 'kupendwa na hivyo kujihakikishia ndoa.

4. Kuzaa na mume wa mtu. Hapa wanaume wengine hukataa katakata ili kunusuru ndoa zao halali. Wengi hutaka starehe za muda tukutokana na tamaa.

5. Mabinti wadogo kuangukia mikono mwa matapeli wa mapenzi, baadaye kuwakataa ama kuwakimbia.

6. Ndoa kuvunjika na mama kukimbia na mtoto, ama ndoa kuvunjika na mume kususa mke na mtoto. Pia mazingira ya hivyo ya siku hizi, mke kutumia mtoto kama njia ya kiuchumi dhidi ya baba wa mtoto pale wanapotengana.

Ukitaka kujua mazingira ya huu upupu tafakari ule mwito wa Ret.RC wa Dar kwa wajane na waliotoswa. Asilimia kubwa waliokwenda pale walikuwa na malalamiko ya kuzalishwa kisha kutoswa. Tazama aina ya wanawake waliokusanyika pale, wengi ni "watema shombo wakubwa." Mfano ni yule madame aliyemwanika mumewe mitandaoni kuwa hatunzi watoto wake, kisha akaibukia kwa RC.
Kwenye No.1 umemaliza kila kitu mkuu.
 
Aaaaiiiseee! Kwa hiyo Hemed alikuwa anajaribu kumu cover up mama yake? Huo uchotara wa Hemed unatokana na mama yake au baba yake? Mimi nilimsikia tu anamponda baba yake E tv alikuwa anafanyiwa mahojiano na Jonijo. Nazani siku hiyo alikuwa amevuta bangi pia maana alikuwa anajisifia yeye ni mzuri( good looking),pia anapenda sex( kufanya ngono), pia yuko vzr kitandani( good in bed),na kwamba anaweza kumiliki hata wanawake mia 9 wote wakawa daraja moja( main chicks).
Ipo haha ya kuwaandalia semina ma-star wetu jinsi ya kuongea na Media
 
Tatizo hili kwa kiasi kikubwa linachangiwa na watu kuzaa nje ya ndoa...laiti watu wangefuata misingi ya dini na kuoana kihalili kabisa basi hizi kesi za watoto kutelekezwa na baba zao zingekuwa chache mnoooo...
Kabisa mkuu pia ukiangalia wasanii wengi ambao wametelekezwa baba alimuacha mama ake akaenda kuoa mke mwingine na hisi hapa ndo shida ilipoanzia hakuna mawasilianao
 
Aaaaiiiseee! Kwa hiyo Hemed alikuwa anajaribu kumu cover up mama yake? Huo uchotara wa Hemed unatokana na mama yake au baba yake? Mimi nilimsikia tu anamponda baba yake E tv alikuwa anafanyiwa mahojiano na Jonijo. Nazani siku hiyo alikuwa amevuta bangi pia maana alikuwa anajisifia yeye ni mzuri( good looking),pia anapenda sex( kufanya ngono), pia yuko vzr kitandani( good in bed),na kwamba anaweza kumiliki hata wanawake mia 9 wote wakawa daraja moja( main chicks).
Baba yake ni mwarabu alikuwa pale tanga mjini stand ya ngamiani akiuza change na baadaye alishindwa hiyo kazi sababu kubwia unga akala hizo change akafungwa gereza la maweni
 
Back
Top Bottom