Hivi ni kweli watu walioendelea wanachezea afya zetu kiasi hiki?

Hivi ni kweli watu walioendelea wanachezea afya zetu kiasi hiki?

Uenda ikawa kwa usemacho,,lkn bado kuna logic kwa kile kinachoelezewa hapo na ukitaka kujua vyema ni mpaka we mwenyewe upate hayo maradhi au nduguyo wa karibu ndo utaelewa,people they suffer a lot!!!
People suffer coz hawajui wasichokijua!! Africans we lost the control, tumegeuka wateja wa bidha za mataifa ya magharb, u name it. Hatu produce vya kwetu vya asili { economy begin with production } hivyo Wana monetize Kila kitu hata afya pia, Sasa hata tukitaka kupika tutashindwa maana wameanza kugusa kuni na mkaa wakitubana vizuri na gesi baadae gesi ikipanda bei tutalazimika kula fast foods {upcoming disaster}
 
People suffer coz hawajui wasichokijua!! Africans we lost the control, tumegeuka wateja wa bidha za mataifa ya magharb, u name it. Hatu produce vya kwetu vya asili { economy begin with production } hivyo Wana monetize Kila kitu hata afya pia, Sasa hata tukitaka kupika tutashindwa maana wameanza kugusa kuni na mkaa wakitubana vizuri na gesi baadae gesi ikipanda bei tutalazimika kula fast foods {upcoming disaster}
That's true,
 
Kwa mtu anayejua saikolojia akimtazama hasa huyo dada atagundua macho na body language yake unaongeza kua anaigiza ( haongei ukweli) hakuna connection na anachokizungumza.
 
Kwa mtu anayejua saikolojia akimtazama hasa huyo dada atagundua macho na body language yake unaongeza kua anaigiza ( haongei ukweli) hakuna connection na anachokizungumza.
Ye kama mwandishi by professional,anatupia swali Moja moja kwa uyo mtaalamu,kisha mda mwingi anakua msikilizaji zaidi,ili apate cha kuuliza baadae, ndivyo nijuavyo kwa waandishi wengi makini.
 
Sasa yafaa tujiulize madaktari wetu,wanashauri kiwango hicho??,,au kiwango kipi wanashauri,hasa kwa mtu asiye na presha.
Unamaanisha kuwa matokeo ya utafiti wa tel Aviv university hayafai kuzingatiwa??!,,
Tel Aviv research = 6 to 9 grams (~kijiko kidogo 1 na nusu)
FDA = 2.3 grams (kijiko kidogo, gawa kwa 3)
American Heart Association = 1.1 grams (kijiko kidogo, gawa kwa 6)

Kiwango ambacho shirika la moyo inapendekeza ni kile kijiko kidogo, gawa kwa sehemu 6 zinazolingana.

6g/6 ~ 1.1g

Just try this at home, and you will be amazed by the results!
 
People suffer coz hawajui wasichokijua!! Africans we lost the control, tumegeuka wateja wa bidha za mataifa ya magharb, u name it. Hatu produce vya kwetu vya asili { economy begin with production } hivyo Wana monetize Kila kitu hata afya pia, Sasa hata tukitaka kupika tutashindwa maana wameanza kugusa kuni na mkaa wakitubana vizuri na gesi baadae gesi ikipanda bei tutalazimika kula fast foods {upcoming disaster}
Just focus kwenye mada ya msingi. Ni kiwango gani cha chumvi kinahitajika mwilini kwa siku? Maximum iweje? Minimum?

Naona unachanganya mada nyingi kwa wakati mmoja.
 
Hii ni kweli kabisa na wala sipingi..mimi Kuna kipindi nilikuwa nahisi kichwa kuniuma sana nikaenda hospital nikafanya check up.wakaniambia sina tatizo ila cholesterol ipo juu hvyo wakaniandikia hzo za statin za kumeza miezi mitatu nikachukua ila sikutumia hata kidonge kimoja mpaka leo ninazo sijafungua hata box moja..baada ya miez mitatu nikaenda kupima tena cholesterol majibu yakatoka niko sawa na dawa sikutumia na wala sikubadilisha mlo wangu zaidi ya kufanya mazoezi kwa sana.
 
Hii ni kweli kabisa na wala sipingi..mimi Kuna kipindi nilikuwa nahisi kichwa kuniuma sana nikaenda hospital nikafanya check up.wakaniambia sina tatizo ila cholesterol ipo juu hvyo wakaniandikia hzo za statin za kumeza miezi mitatu nikachukua ila sikutumia hata kidonge kimoja mpaka leo ninazo sijafungua hata box moja..baada ya miez mitatu nikaenda kupima tena cholesterol majibu yakatoka niko sawa na dawa sikutumia na wala sikubadilisha mlo wangu zaidi ya kufanya mazoezi kwa sana.
Yeah wanatuchezea sana hawa jamaa ili waendelee kuuza dawa!!,,yafaa tujitafakari nakufanya mambo yetu, kwanini tuwategemee kiiivyo wakati nasi tunawasomi,huwa najiuliza sana hivi tunakwama wapi?!,,
Yaelekea wafrika wanasoma lkn wanakosa maarifa,,ndo tunaona miti tunayo lkn tunaagiza hata toothpick toka nje,jamaani!!!
 
Ni sawa na swala la ukimwi kwa ulaya ni kama aipo watu kule wanaogopa malaria kuliko ukimwi kwa watu milioni ulaya kwenye sekta mnaweza sema neno nn kiko nyuma ya pazia
 
"Wasomi" wa Kiafrika bado wanapigana vikumbo kwa kwa ma sangoma ili aasafishe nyota, wapate mvuto na wapandishwe vyeo kwa njia za kishirikina.
 
"Wasomi" wa Kiafrika bado wanapigana vikumbo kwa kwa ma sangoma ili aasafishe nyota, wapate mvuto na wapandishwe vyeo kwa njia za kishirikina.
Jamani najiuliza ushirikina ni nini? Nikiangalia hili neno mzizi wake ni -shirik- , najiuliza kushiriki na nini? Pengine na nguvu au kitu au viumbe ilikunufaika navyo. Je, kunywa dawa (mitishamba au dawa za pharmacy) sio ushirikina maana zinaponya sielewi bado. Vipi kutumia perfume sio ushirikina maana inampumbaza mtu na kumfanya ajisikie amani na kuvutiwa na uwepo wako hili limekaaje? Kumtongoza mtu kwa lengo la BIASHARA au mahusiano sio ushirikina maana maneno yenye nguvu yametumika hapo? Vipi kuhusu kuingiliana nakusababisha ujauzito haiwezi kuwa ushirikina maana kiumbe uhai? Kwa mwenye uwelewa wa hili anifunze.
 
Back
Top Bottom