Hivi ni kweli Wema ameshindwa kurudisha Account yake ya Instagram

Hivi ni kweli Wema ameshindwa kurudisha Account yake ya Instagram

GTA

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
878
Reaction score
651
wema4.jpg

Beautiful onyinye wa bongo kama wanavyo muita watu. Miss Tanzania Wema Sepetu aka sepetunga ni kwamba ameshindwa kurudisha account yake ya Instagram ambayo inasaidika imekuwa hacked (Kudukuliwa).
wema.jpg

Ni kwamba amekosa watalamu au ameitelekeza .
 
Hiyo account siyo hacked, huwezi ku hack account halafu unaitumia kutangaza biashara mpaka namba za simu unatoa.
 
wema4.jpg

Beautiful onyinye wa bongo kama wanavyo muita watu. Miss Tanzania Wema Sepetu aka sepetunga ni kwamba ameshindwa kurudisha account yake ya Instagram ambayo inasaidika imekuwa hacked (Kudukuliwa).
wema.jpg

Ni kwamba amekosa watalamu au ameitelekeza .
Wewe ni "me "au "ke"?
 
A'/c anayo mwenyewe vyuma tuu.. !!! Matangazo naona mpaka mwezi wa sita alivyosema to save date [emoji16]
 
Back
Top Bottom