Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Shangazi yangu hakupata hii chanjo akaja kuwa mlemavu akiwa na miaka 7. Ana miaka 77 sasa hivi. Amekuwa mlemavu kwa miaka 70. Heri sisi wengine tulichanjwa.
 
Ndo maana nikauliza,,, kwa ufahamu niliokua nao mimi ni kwamba ni chanjo, lakini mayb i am wrong, that is why i asked if kuna something more details
Je wamasai wa kule ndan nao huchanjwa? kama hapana je ushakuta wamasai 90 wamekufa barabarani kisa hawakuchanjwa?
 
Shangazi yangu hakupata hii chanjo akaja kuwa mlemavu akiwa na miaka 7. Ana miaka 77 sasa hivi. Amekuwa mlemavu kwa miaka 70. Heri sisi wengine tulichanjwa.
Kwani huo ulemavu ulisababishwa na Kukosekana kwa hiyo chanjo au?
 
Nimefanya utafiti na kubaini kwamba haikuwa na uhusiano wowote wa kumtambulisha mtu ila kila nchi huko nyuma ilikuwa na uhuru wa kuchagua sehemu ya mwili wa kuchoma chanjo ya ndui kitaamamu inajulikana kama - BCG Vaccine.

Mfano Ufini enzi hizo walikuwa wanachoma hii chanjo kwenye paja kama Tanzania inavyochoma mkononi karibu na bega la kushoto.

Kenya walikuwa wanaichoma pia mkono wa kushoto lakini huku mbele baada ya kipepsi.

Kwa sasa nimeuliza matabibu wamesema imekubalika kimataifa chanjo kuchomwa mkono wa kushoto juu kabisa karibu na bega.

Haina uhusiano wowote na uraia japo ilikuwa rahisi kutambua nani ni raia wa nchi gani kutokana na hizo tofauti.
 
Ndugu zangu kumetokea ubishi hapa baina ya pande mbili, wengine wanasema ilikua ni njia ya hayati mwalimu nyerere kuweka alama kwa kila mtanzania,, wengine wanasema ni chanjo dhidi ya magonjwa kama tb,,, madocta na wataalamu mlioko humu pliizz tusaidieni hapa, tumekwama
Watoto waliozaliwa kuanzia mwaka 2001 hawana hiyo alama ya ndui
 
20231222_061930.jpg
 
Back
Top Bottom