Hivi ni lazima Mawaziri wanapoongea kumtaja taja Rais kila baada ya sentensi mbili?

Hivi ni lazima Mawaziri wanapoongea kumtaja taja Rais kila baada ya sentensi mbili?

Walamba miguu hao. Wanafanya hivyo ili waonekane ni loyal kwa aliyewateua. Mtaani kugumu huyo akiwekwa benchi ataanza kulia njaa.
 
Hii tabia ilianza kwa Jiwe.. huko awamu nyingine haikuwepo... na ndio inaendelea
 
Salaam,

Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.

Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.

Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.

Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?

View attachment 2286816
Sisiemu hakuna timamu
Col 2:3
 
Salaam,

Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.

Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.

Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.

Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?

View attachment 2286816
Ni maelekezo vinginevyo ataondolewa kwenye kitengo
 
Shida ni kwamba viongozi wengi bado wameshindwa kutofautisha interest za Rais Samia na Interest za Mwendazake! Kwa Mwendazake hiyo ilikuwa sawa kabisa na walitaja kila wakati hadi awamu ya serikali! Lakin kwa mama naona wanajichanganya tu labda pengine sababu PM pia ana utamaduni huo!
Inashangaza waziri wa serikali badala ya kusema ....Serikali inataka kuona wananchi waki.......Yeye lazima amtaje Rais, hapa sidhani kama hata Mhe. Rais mwenyewe anavutiwa na utamaduni huu!
 
C in C hakwepeki mzee.
Yote yanafanywa na yeye
Haya yameanza awamu ya 5 jee hizo awamu zingine hazikuwa na ma commander in chief?
Ni ushamba mtupu ulioanzia Chato na kwa vile huyu mama ni uzao wa awamu ya 5 basi mambo ni yakeyale
 
Salaam,

Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.

Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.

Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.

Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?

View attachment 2286816
Rais ni kama maji hawezi kumkwepa kumtaja maana kila anachoongelea anafanya Rais utekelezaji wote anafanya Rais
 
Rais ni kama maji hawezi kumkwepa kumtaja maana kila anachoongelea anafanya Rais utekelezaji wote anafanya Rais
Hata pumzi yako ni kutoka kwa Rais sio ee? Mimba ya mamako ilitokana na juhudi za Rais?
 
Salaam,

Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.

Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.

Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.

Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?

View attachment 2286816
Kiukweli ni Njaa zunawaginga vichwa wanadhani wasipoweka sifa basi hawaonekaniki kufanya kazi! Na wakiachwa hawajui waende wapi?!.
 
Back
Top Bottom