Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisiemu hakuna timamuSalaam,
Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.
Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.
Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.
Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?
View attachment 2286816
Ni maelekezo vinginevyo ataondolewa kwenye kitengoSalaam,
Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.
Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.
Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.
Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?
View attachment 2286816
Ngumu yupi hataji?Bila hivo anatolewa kwenye kiti, ila ukiwa na profession yako hakuna kutajataja hiyo
Haya yameanza awamu ya 5 jee hizo awamu zingine hazikuwa na ma commander in chief?C in C hakwepeki mzee.
Yote yanafanywa na yeye
Rais ni kama maji hawezi kumkwepa kumtaja maana kila anachoongelea anafanya Rais utekelezaji wote anafanya RaisSalaam,
Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.
Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.
Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.
Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?
View attachment 2286816
Vitu wanavyoweza kwa ustadi mkubwa ni kujikomba, unafiki, ushirikina, ufisadi na uuaji.
Kujikombakomba Huko Ccm Wanaweza Sana
Hata pumzi yako ni kutoka kwa Rais sio ee? Mimba ya mamako ilitokana na juhudi za Rais?Rais ni kama maji hawezi kumkwepa kumtaja maana kila anachoongelea anafanya Rais utekelezaji wote anafanya Rais
Kiukweli ni Njaa zunawaginga vichwa wanadhani wasipoweka sifa basi hawaonekaniki kufanya kazi! Na wakiachwa hawajui waende wapi?!.Salaam,
Hapa nilikua nasikiliza hotuba ya waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa alipokua anazungumza na maafisa Mawasiliano wa mikoa, aise jamaa kamtaja rais zaidi ya mara 20.
Ndio kuna mahala katika hotuba kuna uhitaji wa kumtaja rais labda kuna maagizo au nukuu au kufanya rejea ya matukio nk ila jamaa anataja hata ambapo hamna logic katika mtiririko wa hoja wala umuhimu wa kumtaja.
Yani anaweza kua anaongelea jambo fulani afu ghafla tu "nampongeza rais mama yetu mpendwa mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama yetu mpendwa sana Samia Suluhu Hassan " . Yani mpaka hotuba inaisha kaitaja hiyo paragraph ya kumpongeza rais zaidi ya mara 20.
Na sio yeye tu ukichunguza mawaziri wakuu wa mikoa na wilaya wote wana huu utaratibu. Hili limekaaje ? au ndio woga, au kumjaza kichwa mama yetu, au ni kutojiamini, au vyote ?! Au ni nini?
View attachment 2286816