Hivi ni lazima ukichomwa sindano ya T.T begani itoe kovu?

Hivi ni lazima ukichomwa sindano ya T.T begani itoe kovu?

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na lile kovu begani?
 
Inategemeana na ngozi ya mtu, mimi sijabaki na kovu.
 
Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na lile kovu begani?
Kwa sisi watu wa zamani. Kovu ni lazima
 
hio uloitaja ni sindano ya tetanus lakini inayochomwa begani tukiwa watoto ina jina lake i think BCG kama jitakua sahihi na inatakiwa uchome ndan ya miez mitatu kwa mtoto mchanga kaa alichomwa akiwa na wiki na haijatoa matokeo yoyote anatakiwa ndan ya miezi mitatu airudie i stand to be corrcted kama nitakua nineenda wrong somewhere na maelezo yangu.
 
Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na lile kovu begani?
T.T haitoi kovu labda kama umechanganya na BCG. Nje ya hapo kuna shida tu.
 
hio uloitaja ni sindano ya tetanus lakini inayochomwa begani tukiwa watoto ina jina lake i think BCG kama jitakua sahihi na inatakiwa uchome ndan ya miez mitatu kwa mtoto mchanga kaa alichomwa akiwa na wiki na haijatoa matokeo yoyote anatakiwa ndan ya miezi mitatu airudie i stand to be corrcted kama nitakua nineenda wrong somewhere na maelezo yangu.
Najazia nazani hutoka Kovu sababu huchomwa kwenye Ngozi badala ya kwenye nyama au mishipa ya damu kama Sindano zingine
 
hio uloitaja ni sindano ya tetanus lakini inayochomwa begani tukiwa watoto ina jina lake i think BCG kama jitakua sahihi na inatakiwa uchome ndan ya miez mitatu kwa mtoto mchanga kaa alichomwa akiwa na wiki na haijatoa matokeo yoyote anatakiwa ndan ya miezi mitatu airudie i stand to be corrcted kama nitakua nineenda wrong somewhere na maelezo yangu.
Kwasasaivi hata kama kovu halijatokea hairudiwi wanasema chanjo tayari ipo mwilini
 
hio uloitaja ni sindano ya tetanus lakini inayochomwa begani tukiwa watoto ina jina lake i think BCG kama jitakua sahihi na inatakiwa uchome ndan ya miez mitatu kwa mtoto mchanga kaa alichomwa akiwa na wiki na haijatoa matokeo yoyote anatakiwa ndan ya miezi mitatu airudie i stand to be corrcted kama nitakua nineenda wrong somewhere na maelezo yangu.
Uko sahihi
 
Kwani mtu asipochoma inakuwaje, vipi wale watoto waliozaliwa kabla ya hii chanjo kugundulika, ilikuwaje?
 
Kutoka kwa chatgpt
Unachozungumzia kinaonekana kuwa chanjo ya BCG (Bacillus Calmette-Guérin), ambayo hutolewa kwa watoto wachanga dhidi ya kifua kikuu (TB). Chanjo hii kawaida huchomwa kwenye ngozi ya bega, na baada ya muda, eneo la sindano linaweza kuvimba kidogo, kutoa usaha, na hatimaye kuacha kovu dogo.


Kwa nini chanjo ya BCG huacha kovu?


  1. Aina ya chanjo – BCG ni chanjo ya bakteria hai iliyolemazwa (attenuated), na mwitikio wa kinga wa mwili husababisha uvimbe mdogo unaoweza kutoa usaha kabla ya kupona.
  2. Njia ya kuchomwa – Chanjo hii huchomwa ndani ya ngozi (intradermal), tofauti na sindano nyingine zinazochomwa kwenye misuli au chini ya ngozi. Njia hii husababisha mmenyuko wa ngozi unaopelekea kovu.
  3. Mwitikio wa kinga ya mwili – Mwili huanzisha kinga dhidi ya kifua kikuu kupitia eneo lililochomwa, na katika mchakato huo, jeraha linapona kwa njia inayosababisha kovu.

Je, kuna ulazima wa kuwa na kovu begani?


Ndiyo na hapana. Kwa kawaida, watu wengi hupata kovu hilo baada ya chanjo ya BCG, lakini si kila mtu hupata. Wengine hupata kovu kubwa, wakati wengine linakuwa dogo au halionekani kabisa. Kovu siyo kiashiria cha ufanisi wa chanjo, kwani bado inaweza kufanya kazi hata bila kuacha alama kubwa.


Ikiwa ulikuwa unazungumzia sindano nyingine tofauti, inaweza kuwa kuna athari za dawa fulani au njia ya uchomaji wa sindano inasababisha madhara hayo.
 
Kwani mtu asipochoma inakuwaje, vipi wale watoto waliozaliwa kabla ya hii chanjo kugundulika, ilikuwaje?
kuna zile za mapaja wanachomwa watoto pia mwez nmoja anachoma mbili miwili mbili mitatu anachoma tatu usipokua makini mtoto zinaamsha homa kali mpaka mchango pengine now a days magonjwani mengi
 
kuna zile za mapaja wanachomwa watoto pia mwez nmoja anachoma mbili miwili mbili mitatu anachoma tatu usipokua makini mtoto zinaamsha homa kali mpaka mchango pengine now a days magonjwani mengi
Ikifika siku ya kuchoma hio sindano kwa mtt, hata mzazi unaingia homa.
Nashkuru nimemaliza kuzaa Alhamdulillah
 
Ikifika siku ya kuchoma hio sindano kwa mtt, hata mzazi unaingia homa.
Nashkuru nimemaliza kuzaa Alhamdulillah
mashallah, hongera una watoto wangapi? mimi nilikua siangaliii anavyochomww nageuza shingo pembeni mana dah mtoto anajikaza analia sana
 
Back
Top Bottom