Hivi ni lazima ukichomwa sindano ya T.T begani itoe kovu?

Hivi ni lazima ukichomwa sindano ya T.T begani itoe kovu?

Yaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na lile kovu begani?
Sio lazima, na sio lazima ile dawa iwekwe kwa njia ya sindano

Mbona kwenye nchi zingine hawafanyi hivyo?

Labda wanataka watanzania wote tuwe na alama ya utambulisho kama Ng'ombe ili tusipotee
 
Inategemeana na ngozi ya mtu, mimi sijabaki na kovu.
Watanzania wengi wakibishana kuhusu uraia wao wanaoneshana hizo alama kwenye mabega yao, kama huna unajajiwa kwamba wewe sio mtanzania
 
Back
Top Bottom