mama praise
New Member
- Sep 9, 2024
- 4
- 6
TT ni ya kujikinga na tetanusKwani mtu asipochoma inakuwaje, vipi wale watoto waliozaliwa kabla ya hii chanjo kugundulika, ilikuwaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TT ni ya kujikinga na tetanusKwani mtu asipochoma inakuwaje, vipi wale watoto waliozaliwa kabla ya hii chanjo kugundulika, ilikuwaje?
Sio lazima, na sio lazima ile dawa iwekwe kwa njia ya sindanoYaani sijajua ni sumu fulani kwenye ile sindani au ni aina yake kutokana na dawa ile au maana ukichomwa ile sindano lazima jeraha litaota usaha kidogo na muwasho alafu baadae linakuwa kovu kabisa hivi ni aina ya dawa au ni ile sindano inafanya hivyo au ni nini.Je!kuna ulazima wowote uwe na lile kovu begani?
Naunga mkono hoja, ndio maana mpaka sasa wako madarakani sio bureSera za ccm hizo
Watanzania wengi wakibishana kuhusu uraia wao wanaoneshana hizo alama kwenye mabega yao, kama huna unajajiwa kwamba wewe sio mtanzaniaInategemeana na ngozi ya mtu, mimi sijabaki na kovu.