Umesema vizuri sana mkuu, GENTAMYCINE mkuu endelea umeleta wazo zuriMind set zetu ziko negatively oriented! We are not here to support but instead to discourage each other. Ikionekana mtu kaongea idea nzuri, watu badala ya kumtia moyo wao wanaingiwa na jealousy; kwamba kwanini awe huyu? Wanaoendelea wote sio selfish; they move jointly. Ukimuona mwenzako kaanzisha jambo ambalo unahisi muhimu, toa support na sio kumchukia, au kama kakosea msaidie na sio kumponda. Aliyesema tumelaaniwa hakukosea!
Wa 2000 ndio ma zero wako wengi sana, hio itawezekana tu siku CCM ikivunjika vipande viwili kikatokea chama kingine cha upinzani. Lakini hivi VICOBA vya Mbowe na Zitto hio siku haitakuja kutokea kamwe.
Nikwambie kwa kupitia nini? ushaambiwa ukiingia umeingia hakuna kutoka,
Hauishi kwenye same dimensions na wafu wao wapo Galaxy ya 1,000,000 uko kutoka ilipo dunia,Kwenye ndoto
Hauishi kwenye same dimensions na wafu wao wapo Galaxy ya 1,000,000 uko kutoka ilipo dunia,
Kikulacho ki-nguoni mwako!huko south africa mkuu wabongo wanakufa sana, but mostly wanuana wao kwa wao mkuu so sad
Yes unatembelea ndugu zako waliokwisha kufa sio walio hai,Lakini si nasikia ukifa unatembelea ndugu zako kwa ndoto
Yes unatembelea ndugu zako waliokwisha kufa sio walio hai,View attachment 2494229
Tungojee corona hije labda itawamaliza
[emoji23][emoji23]Watu wa 90 wamekufanyia nini ndugu
90 umetuoea bure bado hatujashika nafasi nyetiMpaka watu waliozaliwa 90
Waishe wabakie wa 2000 peke yao na kuendelea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Washezi sana wanapenda kudandia mishe za watu af wajuaji sana
90
umetuoea bure bado hatujashika nafasi nyeti
[emoji23][emoji23]inamaana IQ zao zipo high
[emoji23][emoji23][emoji23] mtaenda shika huko mbinguni
Mh hakuna wanajifanya wanajua huku hawajui
Sasa c ndio asilimia kubwa ni kizaz ambacho hawana kazi so lazima janja janja ziwe nying