Hivi ni lini?

Hivi ni lini?

Mind set zetu ziko negatively oriented! We are not here to support but instead to discourage each other. Ikionekana mtu kaongea idea nzuri, watu badala ya kumtia moyo wao wanaingiwa na jealousy; kwamba kwanini awe huyu? Wanaoendelea wote sio selfish; they move jointly. Ukimuona mwenzako kaanzisha jambo ambalo unahisi muhimu, toa support na sio kumchukia, au kama kakosea msaidie na sio kumponda. Aliyesema tumelaaniwa hakukosea!
Umesema vizuri sana mkuu, GENTAMYCINE mkuu endelea umeleta wazo zuri
 
Wa 2000 ndio ma zero wako wengi sana, hio itawezekana tu siku CCM ikivunjika vipande viwili kikatokea chama kingine cha upinzani. Lakini hivi VICOBA vya Mbowe na Zitto hio siku haitakuja kutokea kamwe.

Sipingi hila hili nitoleo la 21
 
Lakini si nasikia ukifa unatembelea ndugu zako kwa ndoto
Yes unatembelea ndugu zako waliokwisha kufa sio walio hai,
Screenshot_20230124-181541.png
 
Nafikiri haya yatatokea tukiwa hatupo hai. Pale kwa mwamba wa lusaka tunashindwa wenyewe tu.
 
Kama Leo tuu tumeweza kupata Uzi wenye Heading Fupi zaidi za huyu mtoa mada naamini ipo siku aliyoyauliza yatatokea.
 
Sasa c ndio asilimia kubwa ni kizaz ambacho hawana kazi so lazima janja janja ziwe nying

Kuna kazi nyingi huko mbinguni mkatusafishie njia tena wew naomba maraika akupe choo ukifanyie usafi maana ukiwekwa jikoni utamaliza nyama bora kule chooni ukasumbuane na mende
 
Back
Top Bottom