Hivi ni lini?

Kuna kazi nyingi huko mbinguni mkatusafishie njia tena wew naomba maraika akupe choo ukifanyie usafi maana ukiwekwa jikoni utamaliza nyama bora kule chooni ukasumbuane na mende

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umeanza roho mbaya huku ukija mbinguni utakuta tushakukusanyia kun
 
siku ccm itatokA.madaraka the bright of future will start.
 
Umesema vizuri sana mkuu, GENTAMYCINE mkuu endelea umeleta wazo zuri
Tafadhali Mimi ni GENTAMYCINE na siyo huyu Juha na Tapeli wa Kuiga ID yangu ili asafirie Nyota yangu Kali Kiumaarufu GENTAMYCIME sawa?

Mnanikera sasa Kunifananisha na huyu GENTAMYCIME kila mara na nimeshalitolea sana Ufafanuzi hili ila sijui kwanini mnakuwa na Vichwa Mzigo Kunielewa.

GENTAMYCINE Mimi Mwenyewe nilijiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July na huyu Juha na Tapeli GENTAMYCIME kajiunga hapa mwaka Jana hivi kwa tofauti hii mnashindwa kujua kuwa Mimi siyo Yeye? Mnaniboa.

JamiiForums nzima kuna GENTAMYCINE Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Mmoja tu Mimi na Wengine ni Makapi na wasichokijua ni rahisi Kuiiga ID yangu ila ni Ngumu mno Kuiiga IQ yangu ya Kizanaki, Kimakuwa, Kiyahudi na Kitutsi ( Kubwa ) na ya Kipekee iliyobarikiwa Shani ( Tunu ) nyingi na Mwenyezi Mungu.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
 
Sawa mkuu GENTAMYCIME nimekuelewa vizuri
 
Yaani haiwezekani muda huu naandika kwenye uzi huu kuna watua wako hapa JNIA wanamsubiri mtu anaetegemewa kufika kesho mchana kutoka huko far alikokuwa. Nimejiuliza maswali mengi ila nikajisemea labda wamelipwa kukaa muda wote huo
 
sasa hivi hadi kuna chawa wa mama mkuu
Hatari,mfumo wanachofanya ni kuwapoteza watu wasiweze kuwa mawazo ya kujadili na kufanya mambo ya msingi
Kila leo watu,vijana wanaletewa matamasha,matukio ya wasanii tu,uchawa
Taifa lina focus kwenye kukata mauno zaidi

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…