Tafadhali Mimi ni GENTAMYCINE na siyo huyu Juha na Tapeli wa Kuiga ID yangu ili asafirie Nyota yangu Kali Kiumaarufu
GENTAMYCIME sawa?
Mnanikera sasa Kunifananisha na huyu
GENTAMYCIME kila mara na nimeshalitolea sana Ufafanuzi hili ila sijui kwanini mnakuwa na Vichwa Mzigo Kunielewa.
GENTAMYCINE Mimi Mwenyewe nilijiunga hapa JamiiForums mwaka 2013 Mwezi July na huyu Juha na Tapeli
GENTAMYCIME kajiunga hapa mwaka Jana hivi kwa tofauti hii mnashindwa kujua kuwa Mimi siyo Yeye? Mnaniboa.
JamiiForums nzima kuna GENTAMYCINE
Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Mmoja tu Mimi na Wengine ni Makapi na wasichokijua ni rahisi Kuiiga ID yangu ila ni Ngumu mno Kuiiga IQ yangu ya Kizanaki, Kimakuwa, Kiyahudi na Kitutsi ( Kubwa ) na ya Kipekee iliyobarikiwa Shani ( Tunu ) nyingi na Mwenyezi Mungu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!