Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
Wewe huna Akili. Subiri apumzike ndiyo utaelewa.Hela ninayo mkuu..hata miguu anayoitumia kusimama ni miguu yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huna Akili. Subiri apumzike ndiyo utaelewa.Hela ninayo mkuu..hata miguu anayoitumia kusimama ni miguu yangu
Achana na huyo mkuu, watu wamechanganyikiwa.Wewe haumpendi mamako??
Nilikua na sababu za kufanya hivyoWewe haumpendi mamako??
Hawa ndio sishangai kutwa kutukana humu na kupata ban Taifa lina hasara sana hilii daah nimeumia kuona Mzazi akisemwa na muhuni JF inaumiza sana...WEWE NI MPUMBAVU... HUWEZI KUMZUNGUMZIA MAMA YAKO NAMNA HIYO...
HUYO NI MAMA YAKO... HATA IWEJE NI MAMA YAKO... NI LAZIMA UMSITIRI KWA MAPUNGUFU YAKE...
HATA KAMA HAKUNA ANAYEKUJUA HUMU... MAMA YAKOUMSITIRI HATA UKIWA PEKEE YAKO.. YAANI HATA KUMTUSI KIMOYOMOYO HAIFAI...
NDIO MADHARA YA KUSOMESHA MITOTO SHULE TU... INASHINDWA KUJUA THAMANI ZA MAMA ZAO.
Weka picha yake tukushauri kulingana na tutakavyomuonaNipo likizo yapata wiki moja, ila nilisafiri kutoka kwangu kuja kwa huyu mzazi wangu.
Likizo imekuwa chungu natamani tu nirudi nyumbani kwangu kabla ya muda, kutwa nashinda naongea nampa ushauri namuelekeza kuna baadhi ya mambo naona kabisa anaharibu lakini ni mbishi kwelikweli.
Kazi kwelikweli!