Hivi ni mimi tu au watu sasa wamebadilika

Hivi ni mimi tu au watu sasa wamebadilika

Brigadier Isaac

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2021
Posts
495
Reaction score
1,436
Habari za jioni kwa member wote wa JF

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana.

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo.

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi.

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha.

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi.

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili.
 
Upo sahihi sana, tumebadilika sana. Hata ukisema umpelekee mtu shida akusaidie mawazo, utashangaa badala ya kukushauri anaongea kuhusu teye na mambo yake.

Kupata mtu wa kukusikiliza na kukusaidia mawazo kwa sasa ni ngumu sana.
 
Habari za jioni kwa member wote wa jf

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili
Ni kweli kabisaa. Hata huku kigoma nilipo(nimekuja kikazi), watu Wana roho za kishetani sana. Nimeamua kutengeneza mazingira ya kuwa peke yangu muda mwingi
 
Habari za jioni kwa member wote wa jf

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili
Boss
Habari za jioni kwa member wote wa jf

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili
Mkuu sjajua ni Yale yalitabiriwa kweny maandiko au vip ya kua nyakati za mwsho watu watakua wanajipenda wenyew,uovu utaongezeka na maarifa yataongezeka
 
90% ya binadamu saizi wanahitaji Therapy
maisha yametufanya tumechanganyikiwa ila sisi hatujui kama tumechanganyikiwa! Wengine wanahisi wame erevuka/Wanakwambia Exposure! Ila ukituliza akili utagundua vitu vingi tunavyovifanya ni shauri ya kuchanganyikiwa!
Pole sana mkuu ni ngumu kwakweli
Maisha ya kisasa hayana huruma. Ni pesa pesa pesa. Utu hakuna narudia tena utu hakuna kabisa, maisha ya 1990 kijamii yalikuwa bora sana kuliko ya 2024.
Binadamu wa sasa tuna teswa na vitu, na mda mwingi hatuna fraha.
 
Habari za jioni kwa member wote wa jf

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili
Wewe una jicho la tatu umeona na kutambua jambo ambalo lipo mbele ya kila mtu ila wengi wanashindwa kukiri kuwa lipo. Juzi nilikuwa namwambia mtu sasa hivi heshima pesa tu na haijalishi umeipataje, muhimu kuwa nayo. Usipokuwa nayo haijalishi unaleta nini mezani wewe ni takataka tu. Yajayo yanafurahisha.
 
Ni sahihi. Maisha tu ndio yanawabadiri watu. Zamani kulikuwa na watu wachache,hivyo kukusanyika sehemu moja na kufahamiana ilikuwa rahisi sana. Ilikuwa mgeni hata akifika mtaa wa 3 mitaa yote mnajua kuna mgeni. Kwa hiyo ilikuwa rahisi kutembeleana na kusaidiana. Lakini siku hizi hata afike mgeni nyumba ya pili unaweza usijue. Hivyo kampani zimepungua. Watu kukimbizana na maisha kumeongezeka.

Zamani ilikuwa ukiwa na hela kiasi fulani,ukawa na gari unaweza kuwa na wapambe kibao. Siku hizi kuwa na wapambe,achana na kuwanywesha na kuwalipa,mpaka uwe na hela za kuwalipa pia. Akina mwijuku,magari n.k
 
Tuwe na kawaida ya kutafuta circle ndogo ya uhakika, Kuna watu ni fahari yao kuona wana msururu wa watu ila akiwahitaji ndio anagundua hana watu. People pleasing wenyewe mnaita “mtu wa watu” pia ni tatizo la akili. unless ni Mwanasiasa/kiongozi/influensa (kama Doto mahari) Msanii etc.

I have very few people i can count on, May God bless them IJN.
 
Back
Top Bottom