Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

Naomba kufahamu mkeo ana watoto wangapi? Na je ndoa yako Ina umri gani? usije Kuta ana ule ugonjwa unaotokana na kumaliza kujifungua anakuwa na hofu ya tendo la ndoa kabisa, hii imenitesa sana na bado iannitesa! Sijapata mwanasaikolojia wa kuzungumza nae. Usichepuke kabisa, zungumza nae na inawezekana hajui tatizo pia, mtafutie mtu azungumze nae. USICHEPUKE
 
Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.

Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.

Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
Ungekuwa Mkristo ningekushauri urejee maandiko! Mnaokota wanawake waliokwishazalishwa au kutoa mimba kibao au makahaba/malaya waliotembeza "k" mpaka wakachoka na kujisemesha "ebu nimtafute boya mmoja anioe". Kibiblia mme ni kichwa na mke ni mwili (kiwiliwili). Kwahiyo jinsi mwanamke anavyotembeza "k" yake kwa kila mwanamme anaongezewa kichwa mpaka anakuja kwako anakuwa amebeba vichwa vya wanaume wooote aliotembea nao ama kwa ngono au kwa kuzaa na uwe na uhakika anakuwa na utisho na wewe utamgwaya wakati yeye anakuona kama katoto vile. Hivi mwanamke anatoa wapi ujasiri wa kumnyima mme anayejielewa mbususu??? Piga chini tafuta utakaye mmudu!!
 
Au kwa habari zaidi wasiliana na huyu;

 
Acha uboya.
nakazia
447729241_122149294016131023_548827933113509181_n.jpg
 
Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.

Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.

Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
Hiyo ni dalili tosha kuwa sasa ana Hawara na huenda huyo Hawara akawa haishii tu Kumkaza / Kumbandua vyema bali pia hata Barabara ya Vumbi iliyotamu kwa Magari ya Kibabe huwa anapita nae.

Cc: mrangi, Arovera na SAGAI GALGANO
 
Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.

Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.

Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
sasa kuna faida gani ya ndoa wakati tendo la ndoa hakuna 😂 njoo kwangu mwaya🌚
 
Hiyo ni dalili tosha kuwa sasa ana Hawara na huenda huyo Hawara akawa haishii tu Kumkaza / Kumbandua vyema bali pia hata Barabara ya Vumbi iliyotamu kwa Magari ya Kibabe huwa anapita nae.

Cc: mrangi, Arovera na SAGAI GALGANO
😂😂😂😂😂😂😂 barabra ya vumbi ,magari machache sana, ndo yanaweza
 
Mke wako humfikishi mwisho elewa ivyo. Ukimkojoza hawezi fanya hivyo. Hapo kuna mtu anamgusa mahali anataka. Hiyo moja ila kama anajua anotoka na watu nje au alikushika hapo imani huwa unakufa na upendo wote
 
Back
Top Bottom