Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo unamfanya mke mkuu, sio mkubwa. Unaongezea wawili chini yakeMpandishe CHEO!
Hapa unamuambia achepuke bila kumuambia achepukeTafuta mdada jifanye unachepuka nae na mkeo fanya juu chini ajue, akikuuliza muambie
ulibanwa sana na yeye anakunyima. Akienda shtaki waeleze shida ni nini.
ILA USICHEPUKE KIUKWELI.
Ungekuwa Mkristo ningekushauri urejee maandiko! Mnaokota wanawake waliokwishazalishwa au kutoa mimba kibao au makahaba/malaya waliotembeza "k" mpaka wakachoka na kujisemesha "ebu nimtafute boya mmoja anioe". Kibiblia mme ni kichwa na mke ni mwili (kiwiliwili). Kwahiyo jinsi mwanamke anavyotembeza "k" yake kwa kila mwanamme anaongezewa kichwa mpaka anakuja kwako anakuwa amebeba vichwa vya wanaume wooote aliotembea nao ama kwa ngono au kwa kuzaa na uwe na uhakika anakuwa na utisho na wewe utamgwaya wakati yeye anakuona kama katoto vile. Hivi mwanamke anatoa wapi ujasiri wa kumnyima mme anayejielewa mbususu??? Piga chini tafuta utakaye mmudu!!Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
nakaziaAcha uboya.
Hiyo ni dalili tosha kuwa sasa ana Hawara na huenda huyo Hawara akawa haishii tu Kumkaza / Kumbandua vyema bali pia hata Barabara ya Vumbi iliyotamu kwa Magari ya Kibabe huwa anapita nae.Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
sasa kuna faida gani ya ndoa wakati tendo la ndoa hakuna 😂 njoo kwangu mwaya🌚Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
na kwenye ndoa mnatumiaga nguvu?Unalialia nini? Mazungumzo ya amani yakishindikana si unatumia nguvu? Au ndo nyie wanaume mnaopigwa na wake zenu?
😂😂😂😂😂😂😂 barabra ya vumbi ,magari machache sana, ndo yanawezaHiyo ni dalili tosha kuwa sasa ana Hawara na huenda huyo Hawara akawa haishii tu Kumkaza / Kumbandua vyema bali pia hata Barabara ya Vumbi iliyotamu kwa Magari ya Kibabe huwa anapita nae.
Cc: mrangi, Arovera na SAGAI GALGANO
Mwanamke anayekupangia siku za kumuingilia Kuna kila dalili ameacha kukupenda mwanamke huyo atakuletea watoto wa njeK ya ndani ni ya kuzaa watoto
K ya nje ndio starehe ya mboro
Zingatia haya