Hivi ni mimi tuu? Au labda na nyie?

Yaani unashabikia uzinzi, naona siku hizi nyinyi vijana mumechanganyikiwa.

Hivi hata hamuogopi ukimwi jamani??????????
 
"Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi" wahenga walinena
 
tulia na mmoja utakufa ukiwa mdogo dunia ya leo sio ya kuparamia, ulo nae mwambie akukune utakufa ww waza maendeleo acha kuwaza upupu wa ngono, jiulize una future gani hadi sasa, elimu yako inakutosha? una kazi ya maana na kipato? una nini cha thamani kama binti hapa duniani ambacho ni asset yako kwa watoto wako watarajiwa? hivi kinawasha sana au? iga dada zako wa kichaga na makabila mengineyo wanaowaza watatoka vipi kimaendeleo na sio kingono.
 
Epuka Tamaa mbaya,epuka tamaa mbaya......20%
Mtoto tulia wewe--bushoke
 
Hizo kazi zina wenyewe ila kwa wewe wa kujistukia stukia, bora tu uache!
 
kha! hivi daftari la wapiga kura linakua updated lini?
 
Lolollllllllllllllllo ya leokali zimua kidogo shost
 
Ni pm nikuunganishe na network ya Mabuzi ila wanamapenzi ya "kituruki"
 
mbona ni vitu vidogo tu,tuliza akili tu mie nina mademu watatu lkn hawajuani mwaka wa 5 sasa.
 
<br />
<br />

ha ha ha ha haaaaaaaa
 
yaani wala hujui ulichoandika .. wewe mzima kweli?????
<br />
<br /> haahahaaa data embu usinichekeshe mimi inamaana bado unaifungua hii sred?
 
hizi sred ambazo mabinti mnaamua kabisa kwa akili yenu kujidhalilisha.. sizipendi.. zaniharibia siku yangu.. cjui kwa nin nimeisoma
<br />
<br /> unamaanisha unachokiongea kweli wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…