Huwajui waarabu vizuri wee, mnaweza kuwasha mimoshi na mafataki km wanavyo fanya wao?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanini sisi wamatumbi tushindwe na waarabu kwenye fitna?
Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.
Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,
But all in all message sent.
Hilo kundi Uganda anaenda sisi hatuna ubavu wa kumfunga Algeria kwao na Uganda anaenda kuwanyoosha Niger kwao.waarabu wametufundisha. ila nimeangalia mpira wa uganda na algeria, nimeona uganda wapo mbali sana kimpira hata sijui kwao tuliwafungaje. wanastahili kuwepo nafasi yetu ya pili.
Timu yenyewe hamna kitu [emoji41]Ule ni Upumbavu
Mkuu umeongea kimpira sana.Hilo kundi Uganda anaenda sisi hatuna ubavu wa kumfunga Algeria kwao na Uganda anaenda kuwanyoosha Niger kwao.
Hamieni Uganda wote
Nakuunga mkono, kukosewa haitupi uhalali wa kuwakosea wengineSidhani Kama ni mbinu sahihi katika mpira wetu wakati tuna kikosi kibovu Cha timu ya Taifa (taifa stars).
Ovyo kabisa.
Hivi akina Samatta wameshindwa kabisa kutufuta machozi?Hilo kundi Uganda anaenda sisi hatuna ubavu wa kumfunga Algeria kwao na Uganda anaenda kuwanyoosha Niger kwao.
Tuko tayari Kwa lolote lakini kuanzia Sasa Unyonge baaaasi.Ingekua kwa waarabu sawa, hawa Niger kuwaonea.
Na hata hivyo mkisema muige waarabu mtashindwa nyiee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi hatuchagui adui mpaka CAF watunge kanuni kuhusu huu ujinga. Kama ni uhuni Acha tuwe Wahuni wote.Tatizo ni kuwa waliofanyiwa vile sio Waarabu, wamefanyiwa watu waungwana wasio na hatia wa historia za fitna za aina hiyo.
Vv
Nenda kanye mavi ukalale wewe,, usiku huuTAHRA WEWE [emoji41]
nendeni mkafanye hivyo huko Algeria.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uganda Hana uwezo wa kumfunga kirahisi Niger anayetafuta nafasi ya 3 kutunza heshima.Kwa kweli timu ni mbovu, kocha hovyo na tabia iliyoonyeshwa na ball boys ni aibu sana! Na hatutaweza kufuzu haya mashindano kwa sababu mechi ya mwisho Algeria watatuburuza hadi kwenye kona ya ulingo na ukizingatia tuna tofauti ya magoli mawili tu ya kufungwa na wao Uganda watamaliza mechi yao ya mwisho na Niger! Kwa vyovyote vile Uganda itachapa magoli mengi wakati sisi tutachapwa pia magoli mengi na Algeria. Atakaesonga mbele pamoja na Algeria ataamuliwa kwa magoli kama Bayern na Dortmund maana points tutalingana tu na Uganda!
tujenge timu figisu za kitoto hazitasaidia kituKunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Hawa CAF uhuni wanaofanya waarabu wanaunyamazia kimya Tu.
Wale ball boys kule wala hawakuguswa na kuonywa na refa, waliachwa ona kilichotokea hapa refa kawatimua wasogee mbali kabisa.
WEMA USIZIDI UWEZO, ujumbe umewafikia kama ni sheria zikate kotekote maana ni msumeno
Mtashindwaa nyiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuko tayari Kwa lolote lakini kuanzia Sasa Unyonge baaaasi.