Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Nakazia.Sisi hatuchagui adui mpaka CAF watunge kanuni kuhusu huu ujinga. Kama ni uhuni Acha tuwe Wahuni wote.
Nani kaja na sheria kuwa ni kwenye vilabu tu. Kama CAF hawawezi kuukemea uhuni huu acha pachafuke.Tena wanarusha mipira mingi hadi inaonekana kabisa ni makusudi. Mpira mmoja wa ziada unatosha kusimamisha mchezo.
Na huu uhuni ni kwenye vilabu siyo kwenye timu za taifa. Shenzi kabisa.
Mbona Misri walimulikwa wa Wasenegali wakaanza kulialia. Jino kwa jino. Ukichekea watu watakufanya kama Mangungo.Ingekua kwa waarabu sawa, hawa Niger kuwaonea.
Na hata hivyo mkisema muige waarabu mtashindwa nyiee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lengo ni kutuma msg, kwani kuna limit irushwe mipira mingapi?Algeria walikuwa hawarushi mipira mingi vile na ilikuwa inarushwa wakati mpira ukiwa umetoka. Tunakuwa malimbukeni hadi kwenye kufanya uhuni.
Dogo alionesha kiburi Sana. Inawezekana yeye ndio alirusha ile mipira miwili.Kuna mmoja kaliganda zake pale
ene wei
Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.
Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,
But all in all message sent.
Uhuni wafanye waarabu, halafu wewe uhuni umfanyie ngozi nyeusi mwenzako. Kwanini usimfanyie mwarabu.Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.
Hawa CAF uhuni wanaofanya waarabu wanaunyamazia kimya Tu.
Wale ball boys kule wala hawakuguswa na kuonywa na refa, waliachwa ona kilichotokea hapa refa kawatimua wasogee mbali kabisa.
WEMA USIZIDI UWEZO, ujumbe umewafikia kama ni sheria zikate kotekote maana ni msumeno
Niger aliifanyia Tanzania huruma lini?. Ufanyiwe hujuma na waarabu ulipize kwa ngozi nyeusi mwenzako. Huo ndio ujinga.Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.
Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,
But all in all message sent.
Mimi nashangaa uhuni kafanya mwarabu, malipizi anafanyiwa asiyehusika. Kweli watanzania Nani alituroga. Ulishindwa kumfanyia uhuni Algeria ndio ukamfanyie uhuni Niger ambaye sio mwarabu.Umechukizwa kwa hawa wa kwenu ila ungefanikiwa kuangalia Yanga walivyofanyiwa kule kwa waarabu and the same B.B sijui unasemaje?.
Sasa mambo ya vilabu mnaleta kwa timu ya Taifa?. Huo ni ulimbukeni.Lengo ni kutuma msg, kwani kuna limit irushwe mipira mingapi?
Wapumbavu wale. Wenzao wanaifanyia michezo ile wako trained. Mipira unarusha pale ambapo mpira umetoka pembeni unahitajika kurushwa au goal kick.tff hao... km FAT
Kikosi Bora Kiko wapi? Nadhani unachanganya style ya uchezaji na quality ya wachezaji.Tunaowachezaji wazuri sana kwa sasa.Kilichokosekana na Jana kiungo ambaye ni playmaker na pia tulikua na viungo wachache sana uwanjani.Sidhani Kama ni mbinu sahihi katika mpira wetu wakati tuna kikosi kibovu Cha timu ya Taifa (taifa stars).
Ovyo kabisa.
Hatua ni kupingwa faini kwa TFF. Hakuna hatua nyingine. Halafu mnawalaumu waarabu lakini mnawaogopa. Mnawafanyia uhuni Niger kisa tu waarabu waliwafanyia hivyo.Acha iwe ivyo ili Caf waanze kushugulikia, ikishamiri wataona kero watachukua hatua ili na wa kaskazini waache izo mambo za kihuni.
Mwishoni tulizidiwa Sana mpaka ball boys wakaingia kuokoa jahazi.Uzuri hatuna timu, Mwakani Tutaaibika
Tatizo mnaleta mambo ya vilabu kwenye timu ya Taifa. Kosa afanye USM Algier halafu malipizo kwa timu ya Taifa ya Niger. Tofautisha klabu na timu ya Taifa.Kama Caf hawakutoa adhabu Kwa opponent wa yanga means jambo jema pia Kwa bolboys wa Tz na sio kwenye clab bingwa
Tatizo ulikuwa unaangalia mpira ili tufungwe.Wale madogo wanaangalia mipira sana haijawahi tokea akini baada waarabu kutufanyia vile wakati wa mechi ya Yanga na USM Algier na kwa hakuna adhabu umetolewa inaonekana ni halali.CAF wamekuwa na upuuzi sana wa kuwabeba waarabu.Kwa kweli timu ni mbovu, kocha hovyo na tabia iliyoonyeshwa na ball boys ni aibu sana! Na hatutaweza kufuzu haya mashindano kwa sababu mechi ya mwisho Algeria watatuburuza hadi kwenye kona ya ulingo na ukizingatia tuna tofauti ya magoli mawili tu ya kufungwa na wao Uganda watamaliza mechi yao ya mwisho na Niger! Kwa vyovyote vile Uganda itachapa magoli mengi wakati sisi tutachapwa pia magoli mengi na Algeria. Atakaesonga mbele pamoja na Algeria ataamuliwa kwa magoli kama Bayern na Dortmund maana points tutalingana tu na Uganda!
Haya Sasa mnakutana na Algeria.Mpira ni vita haya yote tunayaona kule kaskazini
Mnaiga kwa waarabu?. Yani mnaiga kwa waarabu na kuapply kwa ngozi nyeusi nyenzako.Wanafanya Waarabu sembuse sisi.. Toa upuuzi wako hapa, huoni mbinu ilitusaidia wakati Hali Iko mbaya. Wacha Ball boys Wafanye Mambo zao