Hivi ni mwanamke gani humu jf unafikiri anapendwa sana ?

Ahsante sana. Ila Sesten umemwelewa mleta uzi. [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]

Au ndio waniuza jamaani. [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Hapa namsubiri yule kinara niruke nae,na nina uhakika nitamtoa humu jf,nikaishi nae maisha halisi kitaa.
 
Nasubiri mpaka saa 1:00 mchana kama hawajaja, naanza kutoa lock mmoja mmoja.
Mpaka sasa wamekuja 3 tu

Huna kifua bibie,wasitiri huko huko kama wao walivyokuja kimya kimya.
 
Ahsante sana. Ila Sesten umemwelewa mleta uzi. 😜😜😜😜

Au ndio waniuza jamaani. πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ
Sifa yako nyingine nimekumbuka Hajar

Wewe huna bei, hunuliki kwa fedhwa wala dhahabu, upende mwenyewe tu kumtunukia umpendae kwa hiyo suala la kukuuza hapo wala halipo kabisa mamii
 
Kiswahili Hajar ni jiwe na mimi ni moto,hivi kuna jiwa linalo shinda moto ?
Hivi moto hua unayeyusha mawe? Kuna "Jiwe" flani linasumbua sana kule duniani aisee, labda ungetusaidia mkuu kuliunguza

Mi nilidhani kibokoya Jiwe ni nyundo mkuu
 
Hivi moto hua unayeyusha mawe? Kuna "Jiwe" flani linasumbua sana kule duniani aisee, labda ungetusaidia mkuu kuliunguza

Mi nilidhani kibokoya Jiwe ni nyundo mkuu
Bro huwa sihusudu siasa za kidemokrasia mimi huwa ninaomba amani itawale tu.

Amani ndio hazina yangu kuu bro,bila amani siwezi kutafuta na kufanya ibada,bila amani siwezi hudumia watu wangu wa karibu.

Hapo tumegawana majukumu.
 
Habari ndo hiyo
 
Sifa yako nyingine nimekumbuka Hajar

Wewe huna bei, hunuliki kwa fedhwa wala dhahabu, upende mwenyewe tu kumtunukia umpendae kwa hiyo suala la kukuuza hapo wala halipo kabisa mamii
Duuh. We Sesten.

πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…