ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania kipindi Cha nyuma aliwahi kusifiwa Kwa umahiri wake wa kuongea lugha ya Kingereza na Waandishi wa Habari wa CNN wakati wakimhoji na Ile ni kutokana na umahiri wake mkubwa wa kutema Yani, kutema ung'eng'e, lugha ambayo ilikuja Tanzania Kwa Njia ya Meli, lugha pia ambayo inawasumbua watanzania wengi wakiwemo wanasiasa na wasanii wa bongo movie Kwa ujumla.
Rais nyerere pia alikuwa ni mtaalamu kweli kweli wa lugha, Tena bila kuandikiwa , alikuwa anaweza kubishana Kwa kingereza Kwa masaa hata matatu bila kuchoka kama alivyokuwa Mkapa , lakini Mkapa alikuwa vizuri katika lugha zaidi ya Nyerere.
Rais Mkapa licha ya kutema yai lililonyooka na grammer iliyosahihi alisomea masomo ya juu ya Kingereza na pia alikuwa mwandishi wa habari. Zamani waandishi wa habari nao walikuwa ni wajuzi zaidi katika kingereza mtu kama hamza kasongo, this week in perspective(jina nimesahau), jenerali ulimwengu walikuwa miamba wa kingereza tofauti na waandishi wa habari wa Sasa kina Mwijaku, baba levo, masanja mkandamizajji, masoud kipanya kingereza hawajui kabisa.
Hivyo nadiriki Kusema Rais Mkapa alikuwa ni mwanasiasa mwenye kingereza Bora wa Tanzania wa Muda wote yaani GOAT/MBUZI i.e the greatest of all time. Najua Kuna wale machawa watasema yule wa kuupiga mwingi ndo anajua sana kingereza ,
Rais nyerere pia alikuwa ni mtaalamu kweli kweli wa lugha, Tena bila kuandikiwa , alikuwa anaweza kubishana Kwa kingereza Kwa masaa hata matatu bila kuchoka kama alivyokuwa Mkapa , lakini Mkapa alikuwa vizuri katika lugha zaidi ya Nyerere.
Rais Mkapa licha ya kutema yai lililonyooka na grammer iliyosahihi alisomea masomo ya juu ya Kingereza na pia alikuwa mwandishi wa habari. Zamani waandishi wa habari nao walikuwa ni wajuzi zaidi katika kingereza mtu kama hamza kasongo, this week in perspective(jina nimesahau), jenerali ulimwengu walikuwa miamba wa kingereza tofauti na waandishi wa habari wa Sasa kina Mwijaku, baba levo, masanja mkandamizajji, masoud kipanya kingereza hawajui kabisa.
Hivyo nadiriki Kusema Rais Mkapa alikuwa ni mwanasiasa mwenye kingereza Bora wa Tanzania wa Muda wote yaani GOAT/MBUZI i.e the greatest of all time. Najua Kuna wale machawa watasema yule wa kuupiga mwingi ndo anajua sana kingereza ,