Hivi ni nini kinamuharibu sura Mzee wa Upako ?

Kuwa makini mkuu alisema mwezi wa tatu watakufa wengi sana walimchafua [emoji6] [emoji36]
 
Nimefungua page ya kwanza mpka hii ya tatu Hamna hata picha?!, mtoa mada habari haileti uhalisia tunaoutaka; yaani ni kama habari haijakamilika. Aise mpaka nmemkumbuka yule jamaa humu JF anajiita TYTA (sijui kama nmelipatia), alikuwa anafanya habari kama hizi zinakuwa na mvuto kwa kutuma mapicha picha.
 
Age imechange hata wewe uso utakuwa na makunyanzi hasa kama utaendelea kutumia Jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…