Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Wanaotakiwa walitolee maamuzi hili hawalioni ni kama wamelala au kuna kitu wanafaidika nachoAisee! Nchi ngumu sana hii
Ikitangazwa ndio imeshinda hivyoIshinde au itangazwe mshindi?
Sawa..Hilo daftari la INEC halioneshi mtaa/ kitongoji anachotoka mpiga kura. Ni daftari la kata kwa ajili ya uchaguzi wa diwani wa kata, mbunge na rais.
Hili daftari la mtaa ni kwa wakazi wa mtaa/ kitongoji husika pekee kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa mtaa wao. Ni daftari dogo sana la orodha ya wakazi wa mtaa husika ambao idadi yao kwa kawaida huwa haifiki hata watu mia moja ie nyumba 100. Lingeweza pia kutumika kuchagua viongozi wa nyumba kumi.
Sawa, sasa nakusaidia ufahamu kuwa kuna tofauti ya kushinda, na kutangazwa kushinda.Ikitangazwa ndio imeshinda hivyo
Hujaelewa hoja yangu...Unaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
Hayo ni mazungumzo baada ya habari, kila mmoja anaweza kusema lake, lakini ukweli wa mambo habari imekwishaSawa, sasa nakusaidia ufahamu kuwa kuna tofauti ya kushinda, na kutangazwa kushinda.
Nina shaka na ukweli kwenye maelezo hayaUnaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
Hiyo INEC ni lini iliwahi kuwa na mawasiliano na sisi wapiga kura! Vitambulisho vyetu ni vya NEC ambavyo havijaidhinishwa na INEC amnayo ni NEC iliyosilimu bila idhini ya wazazi.Hii ya daftari la Kudumu la wapiga kura la INEC ilikua muhimu sana..imefanyikia lini mkuu