Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maskiniii uko km kifurushii, unahamishwaa hapa na kupelekwaa palee.
Poleeee dogo, woiiiiiiih
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapo unaposema kifurushi sipendi...

Safari hii nikifika nimefika
 
Baba mtumishi 😊😊
 
cocastic mada zako hizi
 
Ngono na busara wapi na wapi. Hilo tendo tu halijakaa kibusara busara, kuna busara gani kwenye kupiga bao?
Wewe unaongelea ngono; mimi nazungumzia tendo la ndoa. Hivi ni vitu viwili tofauti.

Tendo la ndoa ni takatifu sana. Na ndoa ndiyo taasisi kongwe kuliko zote duniani. Iliwekwa na Mungu mwenyewe mara tu baada ya kumuumba binadamu pale Eden.

Licha ya kuleta furaha baina ya wana ndoa pia tendo hili linamshirikisha moja kwa moja binadamu katika uumbaji. Hivyo lazima liheshimiwe.

Kitu kilichowekwa na Mungu wewe huwezi sema ni uchafu. Kunyonyana sehemu hizo za siri siyo sehemu ya tendo la ndoa.
 
Unaulizaje swali la faragha kwenye public?!!!
 
Ndiyo kwa mwanamke kumfanyia hivyo mwanaume ni sahihi ila mwanaume hutakiwi ufanye hivyo usije kuomba hela za operation ya koo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…