Hivi ni uzembe wa mdomo au maksudi?

Lisaa....masaa....hii umeingia ndani mno....
Saa moja....saa tano

Mtihani kwa mfano, tunafanya kwa masaa mawili au saa mbili?

Haya tuendelee, Hivi ipi ni sahihi, Ovyo au hovyo.
 
hata wewe ni mchafuzi wa lugha, umeandika KAARIBU badala ya KAHARIBU
 
Sio makusudi ni mother tongue yao imawaharibu so wanakuwa wamezoea maneno ya aina fulani zaidi kuliko mengine ndo maana utaona wa Arusha wana RRR wa MAra pia wana RRR wakati wa Iringa ni LLLLL
 
Sasa ni kaaribu au kaharibu?
 
mnapokuwa mnakosoa mujue kuwa katika matamshi ni ruhusa mtu kuvunja taratibu za lugha kimatamsh ili aweze kuendana na mazungumzo
mfano wazaramo wataalam wa kuongea kiswahili kwa haraka husema mwanke au (enyee) badala ya mwenyewe kwa mtazamo wa juu juu amekosea ila c kweli kwani amefikia lengo la lugha kitafsiri (kueleweka) ikiwa mtu anaonge c kweli atazungumza sawa na anayeandika. ni lazima azungumze kulingana na mazingira hata ikibidi kuvunja taratibu ila lengo aeleweke
 

Mkuu hapo kwenye colour mbona sasa umekuwa mzembe pia. Sema Kaharibu na sio kaaribu, mimi sipendi huu uchafuzi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapo kwenye colour mbona sasa umekuwa mzembe pia. Sema Kaharibu na sio kaaribu, mimi sipendi huu uchafuzi

Ok!nimesha papiga spana mkuu!
 

hivyo vitu vipo na husababishwa na athari za vijieneo au lugha mama. na inakuwa tayari imeathiri mfumo wa lugha katika karakana ya ubongo wake kwenye pango la lugha hata ukimrekebisha ni muda mfupi tu anaboronga.
ni sawa na kwamba umwambie muhaya atamke ng'ombe hawezi atatamka ngombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…