Hivi Nifanye Nini Ili Uelewe Nakupenda

mi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili ,nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja,alikuwa akinifanyia vituko sana kiasi cha kwamba alikua akinitukana sasa amefeli mtihani wa kidato cha 6,,ananipigia simu akiniomba msamaha wasomi wenzangu nifanyaje ?????
 
Niambieni ni wapi nitapata mganga anayesafisha nyota, maana nahisi nina gundu... yaani sijawahi hata kutaniwa na mdada humu JF kuwa ananipenda!!! si hivi hivi, kuna kitu...

Tehh ehh, Mi naona ulirogwa na Mchawi mwenyewe kafa!!!!!!!
 

Mwambie akareset, akafaulu chukua mzigo
 
Nimejaribu kila njia kueleza hisia zangu kwa member wa hapa JF lakini naona mwenzangu ni kama vile haoni jitihada zangu sijui nifanye nini zaidi ya hapa, inauma sana unapompenda mtu lakini yeye mawazo yake hayapo kwake

huyo mkaka unamjua? Au unaishia kuchat nae tu hapa jf na kutumiana Pm?! Hebu funguka vizuri tujue tunakusaidia vipi.
 
Ha ha ha....JF for life, am never the same kila mara niingiapo humu...vicheko,burudani na elimu tele!
 
Dah kumbe mpaka PM ziligoma, kweli homu boyi wangu kaamua kukomaa!
 
Mwenzio tayali ana wake ambaye wanapendana, hata hivyo unapomuambia mtu kuwa unampenda majibu ni mawili kubaliwa au kukataliwa, tafadhali uwe tayali kwa lolote kati ya hayo mawili.
 
inauma sana unapompenda mtu lakini yeye mawazo yake hayapo kwake
kiswahili kigumu.jitahidi labda uwaunajichanganya katika maongezi yako check ulivyoji mix kwenye hii statement yako.hapo dada lazima akupige chambavu ukaugulie kwenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…