MATESLAA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,246
- 75
mi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili ,nilikuwa na uhusiano wa kimapenzi na dada mmoja,alikuwa akinifanyia vituko sana kiasi cha kwamba alikua akinitukana sasa amefeli mtihani wa kidato cha 6,,ananipigia simu akiniomba msamaha wasomi wenzangu nifanyaje ?????