Hivi nikimtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni awe mke wangu nitakuwa nimetenda kosa?

Hivi nikimtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni awe mke wangu nitakuwa nimetenda kosa?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hi!

Sasa wanaume tumebaki wachache. Hivi kuna ulazima gani mwanaume kufanya au kuishi kwa mitindo ya kike?

Mwanaume anasuka
Mwanaume anavaa hereni
Mwanaume anavaa suruali kama tight ya mwanamke
Mwanaume anavaa pensi fupi .

Mimi sasa nimepanga kumtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni masikioni. Nitamwambia live kuwa nataka awe mke wangu.

Kama ataona kuwa sijamtendea haki akashitaki au tupigane.
Akienda kushitaki asisahau kwenda mahakamani na hereni zake.
 
Hi!

Sasa wanaume tumebaki wachache. Hivi kuna ulazima gani mwanaume kufanya au kuishi kwa mitindo ya kike?

Mwanaume anasuka
Mwanaume anavaa hereni
Mwanaume anavaa suruali kama tight ya mwanamke
Mwanaume anavaa pensi fupi .

Mimi sasa nimepanga kumtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni masikioni. Nitamwambia live kuwa nataka awe mke wangu.

Kama ataona kuwa sijamtendea haki akashitaki au tupigane.
Akienda kushitaki asisahau kwenda mahakamani na hereni zake.
Mambo ya kufumuana marinda haya.Mleta mada nakutakia kila la heri katika kufanikisha ndoa yako na mwanaume mwenzio
 
Hi!

Sasa wanaume tumebaki wachache. Hivi kuna ulazima gani mwanaume kufanya au kuishi kwa mitindo ya kike?

Mwanaume anasuka
Mwanaume anavaa hereni
Mwanaume anavaa suruali kama tight ya mwanamke
Mwanaume anavaa pensi fupi .

Mimi sasa nimepanga kumtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni masikioni. Nitamwambia live kuwa nataka awe mke wangu.

Kama ataona kuwa sijamtendea haki akashitaki au tupigane.
Akienda kushitaki asisahau kwenda mahakamani na hereni zake.
are you gay?
 
Kitambo kama miaka 25 iliyopita nilikuwa na mjomba mara akapita kijana kasuka nywele
Nikamwambia mjomba hivi anafikiri sifa?
Mjomba akanijibu kwa kusema wewe hukuvaa Raisoni, Shati la kubana na Suruali iliyotanuka chini au bugaloo na huku ukiwa na Afro?
Basi na wao sasa ndio fashion yao waache utaona zaidi ya haya ukiendelea kuishi

Na Kweli siku hizi wapo wa kila aina na sishangai sana

Kuna dogo alikuja kuzika kavaa hereni mzee mmoja akmwambia kabla hujafa tukakutoa hiyo hereni ivue sasa hivi [emoji23][emoji23]
 
Hi!

Sasa wanaume tumebaki wachache. Hivi kuna ulazima gani mwanaume kufanya au kuishi kwa mitindo ya kike?

Mwanaume anasuka
Mwanaume anavaa hereni
Mwanaume anavaa suruali kama tight ya mwanamke
Mwanaume anavaa pensi fupi .

Mimi sasa nimepanga kumtongoza kijana wa kiume anayesuka au anayevaa hereni masikioni. Nitamwambia live kuwa nataka awe mke wangu.

Kama ataona kuwa sijamtendea haki akashitaki au tupigane.
Akienda kushitaki asisahau kwenda mahakamani na hereni zake.
Maana yake wewe ni mende siyo
 
Wengi wanatumia bangi au baadhi ya mihadarati kwa sababu hio trend inaendana na hizo life style

Ukipigwa visu kwa hizo dharau zako uje utoe ushuhuda wKo
 
Back
Top Bottom