Professor Heichi
Member
- Aug 19, 2021
- 54
- 78
Wakuu, jambo likikuchanganya ni bora kushare ili upate mawazo mapya.
Mimi nimehitimu chuo miaka 8 imepita. Kipindi chote cha masomo tangu darasa la kwanza nina rekodi nzuri ya ufaulu na uwezo wa kufanya mambo mbali mbali hasa ya kiubunifu, n.k.
Mara baada ya kuhitimu nilifanikiwa kupata kazi mbali mbali za muda mfupi na za kujitolea pia.
Tatizo sasa baada ya miaka kama minne kazi hizi zote zilikoma, kila napogusa sifanikiwi kupata. Iwe kuajiriwa au kujitolea.
Mpaka imefika hatua najiuliza kimenitokea kitu gani au nina madhaifu gani mimi? Mbona interview siitwi tena?
Haya sasa nilipoona nimekaa mda mrefu bila mwelekeo nikaamua kujichanga kadili nilivyoweza nikaamua kufungua duka dogo la rejareja.
Hili nimekomaa nalo ni mwaka wa 3 sasa. Lakini cha kushangaza sioni matumaini ya kuwa na future iliyo nzuri au bora kutokana na biashara hii.
Kiukweli nikikaa nikatafakari na kuangalia dunia inavyoenda na watu wanavyopambana na kufanikiwa na umri unavyoenda mbio⁴ R3 binafsi najiona kama nina mapungufu.
Najiona kama nina madhaifu, tatizo sijajua haya madhaifu ni katika kufikiri? Ni katika uwezo wa kutafuta connection? Ni madhaifu katika kipi hasa??
Ndugu msomaji, kama umenielewa naomba unisadie kwa mtazamo wako hapo naweza kuwa na madhaifu gani? Kumbuka mchango wako unaweza kuchangia kubadilisha maisha yangu na wewe ukabarikiwa zaidi.
Mimi nimehitimu chuo miaka 8 imepita. Kipindi chote cha masomo tangu darasa la kwanza nina rekodi nzuri ya ufaulu na uwezo wa kufanya mambo mbali mbali hasa ya kiubunifu, n.k.
Mara baada ya kuhitimu nilifanikiwa kupata kazi mbali mbali za muda mfupi na za kujitolea pia.
Tatizo sasa baada ya miaka kama minne kazi hizi zote zilikoma, kila napogusa sifanikiwi kupata. Iwe kuajiriwa au kujitolea.
Mpaka imefika hatua najiuliza kimenitokea kitu gani au nina madhaifu gani mimi? Mbona interview siitwi tena?
Haya sasa nilipoona nimekaa mda mrefu bila mwelekeo nikaamua kujichanga kadili nilivyoweza nikaamua kufungua duka dogo la rejareja.
Hili nimekomaa nalo ni mwaka wa 3 sasa. Lakini cha kushangaza sioni matumaini ya kuwa na future iliyo nzuri au bora kutokana na biashara hii.
Kiukweli nikikaa nikatafakari na kuangalia dunia inavyoenda na watu wanavyopambana na kufanikiwa na umri unavyoenda mbio⁴ R3 binafsi najiona kama nina mapungufu.
Najiona kama nina madhaifu, tatizo sijajua haya madhaifu ni katika kufikiri? Ni katika uwezo wa kutafuta connection? Ni madhaifu katika kipi hasa??
Ndugu msomaji, kama umenielewa naomba unisadie kwa mtazamo wako hapo naweza kuwa na madhaifu gani? Kumbuka mchango wako unaweza kuchangia kubadilisha maisha yangu na wewe ukabarikiwa zaidi.