Hivi nina Madhaifu gani mimi?

Hivi nina Madhaifu gani mimi?

Tatizo limeanzia kwa kusoma ukiwa na malengo ya kuajiriwa,Je kichwani bado una matumaini ya kuajiriwa?
Matumaini ya kuajiriwa yalishafifia japo naamini inaweza kutokea nikaajiriwa kwa sababu sifa ninazo.

Haya sasa nimeshajiajiri, nifanye nini nitoke hatua hii niliyopo ya kiduka kidogo? Nina madhaifu gani mbona nakwamia kwenye hatua hii??
 
Ok.
Yaani nikilinganisha muda wa miaka yote 8 nipo mtaani baada ya kuhitimu na hatua niliyopiga kimaendeleo hasa kutokuwa na ajira au shughuli binafsi yenye kipato cha kuridhisha au matumaini ya kuwa nayo.
Haya hayawezi kuwa yanatokana na madhaifu yaliyo ndani yangu? Je yanaweza kuwa madhaifu gani hayo?
Kama umewahi kuapply na kuitwa interviews na ukapiga lkn hukuitwa kwenye kazi Tena yamkini mara nyingi huenda ukawa na tatizo

Ikiwa umeshawahi pata Fedha za kutosha kiasi chake lkn hazijakusaidia chochote wala kukuvusha zikaishia kwenye anasa na pombe tu hapo utakuwa na shida

Ikiwa ulifanikiwa kupata kazi hata taasisi binafsi na yamkini baada ya mda mfupi tu ukapigwa chini yamkini una shida

Sasa tuanzie HAPA [emoji116]

Toka Umemaliza chuo ukaanza maisha ya kitaa kupanga chumba Kuna step yoyote umepiga? Ulianza let say kwa kulala chini, Je mpk sasa bado unalala chini? Kama ulifanikiwa kununua kitanda na godoro na vitu vya ndani You are some steps ahead

Bila Shaka Malengo yapo, Ni yapi?
Kupitia Hayo Malengo ndiyo utajua kuwa unapiga hatua ama Upo dormant.

Kama huna Malengo hapo hujapoteza chochote yaani hapo ulipo kwa sasa unastahili kabisa

Sijui kama utanielewa mkuu
 
Usione mtu yuko poa poa..
Huwezi jua dili gani iliyomtoa..

Mzee pambana, kwan wakati unapata hizo kazi ulikuwa unajikuta nani?
 
Kwanza.

Safisha nyota.
Andika CV yako vizuri (pengine CV haivutii).
Jifunze kujieleza/kuongea kwa makini.

Anza kuapply kazi ndogo ndogo ili kukuza Kujiamini.

Na Hiyo miaka mitatu uliyo mtaan andika kwa CV kuwa uko ofisi moja unafanya kazi.

Anza na hayo
 
Hayo ni mambo ya giza/ulozi umefanyiwa. Haya sasa kama unaimani kwa Muumba nenda ukafunguliwe, angalia usiende kwa matapeli yanayotumia vitambaa, maji, chumvi, sabuni, mafuta nk.
 
Kama umewahi kuapply na kuitwa interviews na ukapiga lkn hukuitwa kwenye kazi Tena yamkini mara nyingi huenda ukawa na tatizo

Ikiwa umeshawahi pata Fedha za kutosha kiasi chake lkn hazijakusaidia chochote wala kukuvusha zikaishia kwenye anasa na pombe tu hapo utakuwa na shida

Ikiwa ulifanikiwa kupata kazi hata taasisi binafsi na yamkini baada ya mda mfupi tu ukapigwa chini yamkini una shida

Sasa tuanzie HAPA [emoji116]

Toka Umemaliza chuo ukaanza maisha ya kitaa kupanga chumba Kuna step yoyote umepiga? Ulianza let say kwa kulala chini, Je mpk sasa bado unalala chini? Kama ulifanikiwa kununua kitanda na godoro na vitu vya ndani You are some steps ahead

Bila Shaka Malengo yapo, Ni yapi?
Kupitia Hayo Malengo ndiyo utajua kuwa unapiga hatua ama Upo dormant.

Kama huna Malengo hapo hujapoteza chochote yaani hapo ulipo kwa sasa unastahili kabisa

Sijui kama utanielewa mkuu
Mkuu sijawahi kupata hela nyingi.
Yes, nimepanga, kitanda ninacho na vifaa muhimu vya ndani vyote ninavyo.
Lakini hii inatosha mkuu kwa miaka 8 mtaani?
Malengo ninayo, lakini matumaini ya kuyafikia yanakuwa madogo.
Mkuu ebu nishauri nifanye nini ili nifungue zaidi ubongo wangu huu?
 
Kwanza.

Safisha nyota.
Andika CV yako vizuri (pengine CV haivutii).
Jifunze kujieleza/kuongea kwa makini.

Anza kuapply kazi ndogo ndogo ili kukuza Kujiamini.

Na Hiyo miaka mitatu uliyo mtaan andika kwa CV kuwa uko ofisi moja unafanya kazi.

Anza na hayo
Nyota nisafishie wapi mkuu? Kwa waganga hawa matapeli wa mjini? Au nielekeze wapi niende ndugu yangu.

Pia hiyo miaka 3 niandike ofisi ya uongo? Je wakitaka uthibitisho? Au vipi nikiandika hiyo miaka mitatu nafanya shughuli binafsi za ujasiriamali?
 
Mkuu sijawahi kupata hela nyingi.
Yes, nimepanga, kitanda ninacho na vifaa muhimu vya ndani vyote ninavyo.
Lakini hii inatosha mkuu kwa miaka 8 mtaani?
Malengo ninayo, lakini matumaini ya kuyafikia yanakuwa madogo.
Mkuu ebu nishauri nifanye nini ili nifungue zaidi ubongo wangu huu?
Kwa mtazamo wangu ni kwamba uko sawa tu sema kinachokupa presha ni hiyo miaka 8 unaiona mingi sana. Una imagine ndani ya hyo miaka ungekuwa mbali Sana. Usiendelee kufanya hivi

Cha msingi don't lose FOCUS afe kipa afe beki. Life takes time to manifest. Kwamfano sasahivi huu mwaka tunaenda kumaliza. Hakikisha unakaa chini unaandika yale uliyo fanikisha ndani ya mwaka mzima, fafanua changamoto zilizokukwamisha then mwaka unaoanza set Malengo mapya na uya wekee Time limit Strictly

Kuajiriwa kama kumeshakua kugumu Plan kujiajiri tu na kujiajiri angalia ujikite wapi sekta zipo nyingi sana. Duka, yes ni biashara lakini itakuchelewesha mkuu. Angalia engo nyingine yeny kulipa zaidi mfano jikite kweny kilimo ama biashara ya mazao mfano alizeti, mchele nk

Mkuu wewe umeshafika hatua ya kuridhika kwa hayo mafanikio uliyoyapa ukizingatia na umeshaoa tayari/umetulia tuliii kama Maji kwenye mtungi [emoji23]... Toka kwenye hiyo Comfort zone pambana kwa ajili ya vikubwa zaidi. Mafanikio huja kwa kuforsi amini na si lelemama.

Lkn kwa hapo ulipofikia kwa average Upo sawa kabisa tena huenda umewazidi na wengine wengi TU
 
Back
Top Bottom