Hivi nina Madhaifu gani mimi?

Hivi nina Madhaifu gani mimi?

Achana na wanao kushauri ukasafishe nyota, waganga Wana tabia ya kuteka nyota na kuanza kuiendesha nafs yako , ukienda tu utafanikiwa hata miez 6 alaf baada ya hapo atakutengeneza ili urudi kilingeni ukatoe kafara tena hata Kama ni ya kuku kwakifupi waganga wanaharibu maisha ya watu ndo maana ukienda Mara moja hautaacha kirahisi.

Pambana kwa njia yako ongeza juhudi tu na uache kujilinganisha na watu wengine kwakua wapo ambao wanatamani hata kuwepo hapo ulipo wewe na hawawezi kwa Sasa.
 
Kwa mtazamo wangu ni kwamba uko sawa tu sema kinachokupa presha ni hiyo miaka 8 unaiona mingi sana. Una imagine ndani ya hyo miaka ungekuwa mbali Sana. Usiendelee kufanya hivi

Cha msingi don't lose FOCUS afe kipa afe beki. Life takes time to manifest. Kwamfano sasahivi huu mwaka tunaenda kumaliza. Hakikisha unakaa chini unaandika yale uliyo fanikisha ndani ya mwaka mzima, fafanua changamoto zilizokukwamisha then mwaka unaoanza set Malengo mapya na uya wekee Time limit Strictly

Kuajiriwa kama kumeshakua kugumu Plan kujiajiri tu na kujiajiri angalia ujikite wapi sekta zipo nyingi sana. Duka, yes ni biashara lakini itakuchelewesha mkuu. Angalia engo nyingine yeny kulipa zaidi mfano jikite kweny kilimo ama biashara ya mazao mfano alizeti, mchele nk

Mkuu wewe umeshafika hatua ya kuridhika kwa hayo mafanikio uliyoyapa ukizingatia na umeshaoa tayari/umetulia tuliii kama Maji kwenye mtungi [emoji23]... Toka kwenye hiyo Comfort zone pambana kwa ajili ya vikubwa zaidi. Mafanikio huja kwa kuforsi amini na si lelemama.

Lkn kwa hapo ulipofikia kwa average Upo sawa kabisa tena huenda umewazidi na wengine wengi TU
Asante sana mkuu, umenitia moyo sana. Ngoja nipambane. Nitakaa chini niandike mipango yangu upya kwa kurejea post yako hii
 
Achana na wanao kushauri ukasafishe nyota, waganga Wana tabia ya kuteka nyota na kuanza kuiendesha nafs yako , ukienda tu utafanikiwa hata miez 6 alaf baada ya hapo atakutengeneza ili urudi kilingeni ukatoe kafara tena hata Kama ni ya kuku kwakifupi waganga wanaharibu maisha ya watu ndo maana ukienda Mara moja hautaacha kirahisi.

Pambana kwa njia yako ongeza juhudi tu na uache kujilinganisha na watu wengine kwakua wapo ambao wanatamani hata kuwepo hapo ulipo wewe na hawawezi kwa Sasa.
Asante mkuu
 
Mkuu kwenye ulevi, uzinzi huko sipo maana Pombe hata kuionja sijawahi. Na uzinzi hapana maana nimeoa. Labda ngoja nijichunguzw katika hayo mengine. Asante.
Sawa mkuu ila kingine vua iyo kofia uliyovaa itakusumbua
 
Usijilaumu wala kulalamika, afadhali ya ww una kiduka ila kuna wasomi mtaani tunazurura miaka nenda miaka rudi hakuna ata la maana linalofanikiwa, tena afadhali ya ww una mke tayar kwamb nyege na uzinzi havitokusumbua.

Jambo la muhim mkuu weka malengo yako upya na mfanye huyo mkeo muwe na agenda moja ya kuwa na kiu ya mafanikio, huyo mkeo akiwa na kiu ya mafanikio atakuwa na nidhamu ata matumizi nyumbani unayomwachia.

Km una duka la rejareja means unaweza pata dhamana ata ya kukopeshwa ata km sio mtaji lkn ukakopeshwa bidhaa kutoka kwa wholesaler unapochukuaga mafungasho ukazidi kutanua hiyo biashara yako.

Ww hatua ya mwanzo nzuri unayo la muhimu ni kuipenda hyo kazi unayoifanya, na kuhakikisha unasimamia malengo yani ikiwezekana ata uwe na KIBUBU kwamba kwa mwaka hukosi ata milion moja na nusu.

La mwisho jua kuwa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, Mungu ni wetu Sote tuzidi kumuomba Tusichoke ipo cku isiyo na jina mambo yatabadilika.
 
mkuu fungua tawi au biashara mpya ya duka sehemu nyingine.....sikilizia kwa miaka miwili uone
hapo unaexperience ya duka.......so jikusanye fungua jingine......changamoto za awali ulizokutana nazo itakuwa rahisi kuzikabili,na hii itakusaidia kuisimamisha biashara yako mpya mapema.......
kuhusu kuajiriwa sahau huko kwanza...kwasababu mishahara ni midigo mno haitakupeleka popote....pia muda wa kazi ni mwingi kiasi autashindwa kuendelea na mambo yako.....
ningeomba kuuliza kuhusu mkeo....ameajiriwa.......................? au anabiashara au ni mama wa nyumbani?
 
Usijilaumu wala kulalamika, afadhali ya ww una kiduka ila kuna wasomi mtaani tunazurura miaka nenda miaka rudi hakuna ata la maana linalofanikiwa, tena afadhali ya ww una mke tayar kwamb nyege na uzinzi havitokusumbua.

Jambo la muhim mkuu weka malengo yako upya na mfanye huyo mkeo muwe na agenda moja ya kuwa na kiu ya mafanikio, huyo mkeo akiwa na kiu ya mafanikio atakuwa na nidhamu ata matumizi nyumbani unayomwachia.

Km una duka la rejareja means unaweza pata dhamana ata ya kukopeshwa ata km sio mtaji lkn ukakopeshwa bidhaa kutoka kwa wholesaler unapochukuaga mafungasho ukazidi kutanua hiyo biashara yako.

Ww hatua ya mwanzo nzuri unayo la muhimu ni kuipenda hyo kazi unayoifanya, na kuhakikisha unasimamia malengo yani ikiwezekana ata uwe na KIBUBU kwamba kwa mwaka hukosi ata milion moja na nusu.

La mwisho jua kuwa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, Mungu ni wetu Sote tuzidi kumuomba Tusichoke ipo cku isiyo na jina mambo yatabadilika.
Asante mkuu
 
Mtoa mada anaamini katika imani za kishirikina!!!😄😄
Reference:comment zake🏃🏃🏃
 
Wakuu, jambo likikuchanganya ni bora kushare ili upate mawazo mapya.

Mimi nimehitimu chuo miaka 8 imepita. Kipindi chote cha masomo tangu darasa la kwanza nina rekodi nzuri ya ufaulu na uwezo wa kufanya mambo mbali mbali hasa ya kiubunifu, n.k.

Mara baada ya kuhitimu nilifanikiwa kupata kazi mbali mbali za muda mfupi na za kujitolea pia.

Tatizo sasa baada ya miaka kama minne kazi hizi zote zilikoma, kila napogusa sifanikiwi kupata. Iwe kuajiriwa au kujitolea.
Mpaka imefika hatua najiuliza kimenitokea kitu gani au nina madhaifu gani mimi? Mbona interview siitwi tena?

Haya sasa nilipoona nimekaa mda mrefu bila mwelekeo nikaamua kujichanga kadili nilivyoweza nikaamua kufungua duka dogo la rejareja.
Hili nimekomaa nalo ni mwaka wa 3 sasa. Lakini cha kushangaza sioni matumaini ya kuwa na future iliyo nzuri au bora kutokana na biashara hii.

Kiukweli nikikaa nikatafakari na kuangalia dunia inavyoenda na watu wanavyopambana na kufanikiwa na umri unavyoenda mbio⁴ R3 binafsi najiona kama nina mapungufu.

Najiona kama nina madhaifu, tatizo sijajua haya madhaifu ni katika kufikiri? Ni katika uwezo wa kutafuta connection? Ni madhaifu katika kipi hasa??

Ndugu msomaji, kama umenielewa naomba unisadie kwa mtazamo wako hapo naweza kuwa na madhaifu gani? Kumbuka mchango wako unaweza kuchangia kubadilisha maisha yangu na wewe ukabarikiwa zaidi.
GENTAMYCINE unatikiwa uwe mi.....
 
Wakuu, jambo likikuchanganya ni bora kushare ili upate mawazo mapya.

Mimi nimehitimu chuo miaka 8 imepita. Kipindi chote cha masomo tangu darasa la kwanza nina rekodi nzuri ya ufaulu na uwezo wa kufanya mambo mbali mbali hasa ya kiubunifu, n.k.

Mara baada ya kuhitimu nilifanikiwa kupata kazi mbali mbali za muda mfupi na za kujitolea pia.

Tatizo sasa baada ya miaka kama minne kazi hizi zote zilikoma, kila napogusa sifanikiwi kupata. Iwe kuajiriwa au kujitolea.
Mpaka imefika hatua najiuliza kimenitokea kitu gani au nina madhaifu gani mimi? Mbona interview siitwi tena?

Haya sasa nilipoona nimekaa mda mrefu bila mwelekeo nikaamua kujichanga kadili nilivyoweza nikaamua kufungua duka dogo la rejareja.
Hili nimekomaa nalo ni mwaka wa 3 sasa. Lakini cha kushangaza sioni matumaini ya kuwa na future iliyo nzuri au bora kutokana na biashara hii.

Kiukweli nikikaa nikatafakari na kuangalia dunia inavyoenda na watu wanavyopambana na kufanikiwa na umri unavyoenda mbio⁴ R3 binafsi najiona kama nina mapungufu.

Najiona kama nina madhaifu, tatizo sijajua haya madhaifu ni katika kufikiri? Ni katika uwezo wa kutafuta connection? Ni madhaifu katika kipi hasa??

Ndugu msomaji, kama umenielewa naomba unisadie kwa mtazamo wako hapo naweza kuwa na madhaifu gani? Kumbuka mchango wako unaweza kuchangia kubadilisha maisha yangu na wewe ukabarikiwa zaidi.
Pole mkuu bora uchuuzi wa Mazao tuu
 
Back
Top Bottom