Hivi nini dhamira gani ilimsukuma Kikwete kuanzisha mchakato wa mabadiliko ya katiba miaka ya 2013-14!?

Hivi nini dhamira gani ilimsukuma Kikwete kuanzisha mchakato wa mabadiliko ya katiba miaka ya 2013-14!?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kila nikiona mambo yanavyoenda kwenye taifa letu chini ya ccm kuna kila dalili wafuasi wa ccm hawaoni shida yoyote ya katiba tuliyonayo yaani ni kama wameishaifikia nchi ya ahadi.

Ndipo hunijia maswali kwani aliporuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba rais wa awamu ya nne alisukumwa na dhamira gani!?

Je alikuwa anajibu presha za wanaharakati na wapinzani?

Ulikuwa ni utashi wake binafsi!?

Kulikuwa shinikizo ndani ya chama chake!?

Au ilikuwa changa la macho tu!! Yaani kutupoteza maboya!?

Najiuliza hivi kwa kuwa sioni hata mwanaccm mmoja aliyetayari kuona katiba ikifanyiwa mabadiliko.
 
Kila nikiona mambo yanavyoenda kwenye taifa letu chini ya ccm kuna kila dalili wafuasi wa ccm hawaoni shida yoyote ya katiba tuliyonayo yaani ni kama wameishaifikia nchi ya ahadi.

Ndipo hunijia maswali kwani aliporuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba rais wa awamu ya nne alisukumwa na dhamira gani!?

Je alikuwa anajibu presha za wanaharakati na wapinzani?

Ulikuwa ni utashi wake binafsi!?

Kulikuwa shinikizo ndani ya chama chake!?

Au ilikuwa changa la macho tu!! Yaani kutupoteza maboya!?

Najiuliza hivi kwa kuwa sioni hata mwanaccm mmoja aliyetayari kuona katiba ikifanyiwa mabadiliko.
Utashi wake binafsi na changa la macho pia ku mark time.
 
Roho mbaya na ulafi wa kutotaka wanaomfuata ku enjoy kama yeye kimadaraka ila katikati akagundua katiba mpya inaweza kuja kumdhuru yeye mwenyewe hata ikiwa amestaafu, ikabidi abadili gear angani.
 
Roho mbaya na ulafi wa kutotaka wanaomfuata ku enjoy kama yeye kimadaraka ila katikati akagundua katiba mpya inaweza kuja kumdhuru yeye mwenyewe hata ikiwa amestaafu, ikabidi abadili gear angani.
Kwa hiyo aliratibu mchakato akaandaa na mchakato wa kuuvuruga
 
Ulikuwa ni utashi wake binafsi!?
Ulikuwa ninutashi wake binafsi ili aache legacy. Hivyo hivyo kwa rais Samia naye alikuwa na dhamira ya kuacha legacy.

Kikwete na Samia wote wawili walibadili dhamira zao kutokana na mashinikizo ya "wenye chama". Na wenye chama ndiyo wenye nchi.

Kumbuka chama na dola they are inseparable
 
Kila nikiona mambo yanavyoenda kwenye taifa letu chini ya ccm kuna kila dalili wafuasi wa ccm hawaoni shida yoyote ya katiba tuliyonayo yaani ni kama wameishaifikia nchi ya ahadi.

Ndipo hunijia maswali kwani aliporuhusu mchakato wa mabadiliko ya katiba rais wa awamu ya nne alisukumwa na dhamira gani!?

Je alikuwa anajibu presha za wanaharakati na wapinzani?

Ulikuwa ni utashi wake binafsi!?

Kulikuwa shinikizo ndani ya chama chake!?

Au ilikuwa changa la macho tu!! Yaani kutupoteza maboya!?

Najiuliza hivi kwa kuwa sioni hata mwanaccm mmoja aliyetayari kuona katiba ikifanyiwa mabadiliko.
Angekuwa kweli anapenda katiba mpya angeanzisha mchakato huo 2007 katika awamu yake ya kwanza ya uongozi. Samia naye anataka kufanya hivyo hivyo.
 
mim nikiwa kama baba huwa nikipga dili la hela ndefu lazima pia familia yang nwables kwa chochte kitu, baada y jk kuona amepg mikwanja na dil chafu nyngi(richmond, etc) akaamua malupulupu awables wabunge na kutuzuga watanganyika ila hakuwa na nia thabiti ya kutuletea katiba mpya.
 
Back
Top Bottom