Hivi nini kinaendelea kwa huyu Diva Loveness love?

Huyu vitu ambavyo huwa anaandika katika social media lazma utagundua sio mzima....
Amejikrimu karibia awe mzungu
Yani huyu binti dish lilishacheza kabisa na ana shida ya kisaikolojia kabisa ni kati ya watu wasio na afya ya akili hapo Clouds....
 
kuna siku kaandika anakereka kwenda ukweni afu akute wamepika maharage au cabbage, kipindi hicho alikua anatoka na GK ha ha ha sa sijui kwao GK ndo alikua anakuta hivo
hahahahaha nimecheka sana Evelyn Salt....daaa huyo binti sio mzima kabisa....kwakweli GK amekoma
 
Huyu baba ake Malinzi yupo jela basi anatapa tapa tu....hela ya kutamba mjini hana
 
ngoja nikutafutie namba yake ye anatangaza anauza tigo ila papuche ni nyongeza tu hahaha halafu ana msambwanda wa haja binti mrembo sijui ana matatizo gani kwakweli sura nzuri umbo zuri ila ndo vilee
Atakuwa anavaa pampas kwa sasa.
 
teh GK alimpaga mimba ya mapacha sijui waliishia wapi wale mapacha.... diva huwa namuona Kama faiza wa sugu akili zao
Nakumbuka mtoto akilipewa jina refu, tukumbushane lile jina jamani.
 
Yani huyu binti dish lilishacheza kabisa na ana shida ya kisaikolojia kabisa ni kati ya watu wasio na afya ya akili hapo Clouds....
Nafikiri matatizo yake mengi yameanzia kwenye makuzi, huyu hakulelewa na wazazi wote wawili ndio maana ukimsikiliza sana unagundua kuna nut imelegea kichwani, ana uzungu mwingi sana na maisha ya kuiga.
 
Nafikiri matatizo yake mengi yameanzia kwenye makuzi, huyu hakulelewa na wazazi wote wawili ndio maana ukimsikiliza sana unagundua kuna nut imelegea kichwani, ana uzungu mwingi sana na maisha ya kuiga.
Huyu manzi akili yake ipo hivyo hivyo toka nasoma nae shule ya msingi nashangaa watu wanapata nae tabu
 
Huyo anatamani kuwa na mume,sasa bahati mbaya amegundua kumbe hakunaga mboo za kuchezea,wajanja wana hit and run,amebaki kama kifaranga cha kuku kila siku anaamini atanyonya kesho,
Huu ni ukweli mchungu sana,dada zetu huwa mnawadharau sana wananume ooohh mwanaume gani suruali,oooh kibamia nk ila ukweli ni kwamba mwanaume ndio faraja pekee ya mtoto wa kike,we ponda wee ila usiombe siku wanaume wasuse hata kukupigia miruzi mbona utatamni ardhi ipasuke uingie ndani,yaani huyu dada na sepetu ukiwasikiliza mara nyingi kukosa ndoa na watoto hakujawaacha salama kisaikolojia
 
Wakati akiwa na kibendi cha GK mtoto alishapewa jina, something like princess Hailey montana kaihula if am not mistaken mkuu.
Ha ha ha ha ha dah hilo jina, wabongo tuna mambo nmecheka mie.
Wapi cookie la princessa iyobo
 
kumeshakucha sasa anatafuta shuka
 
kuna siku kaandika anakereka kwenda ukweni afu akute wamepika maharage au cabbage, kipindi hicho alikua anatoka na GK ha ha ha sa sijui kwao GK ndo alikua anakuta hivo

Hivi GK walishabwagana au bado wanakokotana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…