Hivi nini kinaendelea kwa huyu Diva Loveness love?

Hivi nini kinaendelea kwa huyu Diva Loveness love?

Hivi huyo ni diva yule mwenye sauti ya kuwarusha Roho vijana wa namtumbo,kasuru ,kibondo,sumbawanga ,masasi,

Mbona macho kama teja ngoja niwatag waha wa kigoma demu wao Diva anataka bwana sasa
 
Kwenye maisha yangu sijawai kutamani nyie mnawaita maarufu njaa wakina sijui Nani sijui watoto wa kike hao mnaowaita maarufu wanaishi maisha ya kudanga hila kwasababu amtembelei viwanja vyao dats mnawaona wa maana 75% njaa tupu kugogwa sana unakua kiwanja kununua tizi bora nikomae na msichana wangu wakawaida
 
Unaweza kukuta anajishaua hivyo halaf mashine yake break pu,..mbu [emoji2] [emoji2]
Hahahahaha

Ndio utunze mashine yako naww sio mapozii mengi halaf mtu anakuta mashine hamna kitu.


Nakumbuka kuna mshikaji wangu tulikuwa tunakaa room moja chuo alifukuzia demu mwaka siku kaja kula mzigo mm nmelala kitanda cha juu nasikia pwacha pwacha kama mtu anafua bwana...mtt mzuri mashine hovyo kbs
 
Hahahahaha

Ndio utunze mashine yako naww sio mapozii mengi halaf mtu anakuta mashine hamna kitu.


Nakumbuka kuna mshikaji wangu tulikuwa tunakaa room moja chuo alifukuzia demu mwaka siku kaja kula mzigo mm nmelala kitanda cha juu nasikia pwacha pwacha kama mtu anafua bwana...mtt mzuri mashine hovyo kbs
Pwachapwacha kitu majiii halaf alikua anaringa nahisi jamaa yako alijuta mana angejua wala asingesumbuka kumfuatilia wacha mimi nitunze yangu ili isijekuwa break pu..mbu
 
Huwa sopendi kumponda mtu kwa mambo aliyofanya ila huwa mwepesi kushauri na kushauriwa pale jambo la kujuta linapojitokeza. We're all passing on earth, We don't know how our destiny will be, but when somebody is regretting on her/his conduct meaning he/she needs a help n ready to change, to face the reality.
Kwa ujumbe wa Diva inaonekana something is really troubling her mpaka kuamua kuliweka wazi kwa njia anayoijua yeye mwenyewe... Tumpe pole na tuwe tayari kumshauri pale atakapokuwa tayari kupokea ushauri wa watu
 
Pwachapwacha kitu majiii halaf alikua anaringa nahisi jamaa yako alijuta mana angejua wala asingesumbuka kumfuatilia wacha mimi nitunze yangu ili isijekuwa break pu..mbu
Demu alitusumbua yule asbh namuangalia natamani nimtukane.


Ukipata kibendi usitoe mama komaa nacho tu mungu ataleta neema zake ukishaanza kucholopoa mizigo basi ujue utakuja kumtesa mumeo tu
 
Huyu vitu ambavyo huwa anaandika katika social media lazma utagundua sio mzima....
Amejikrimu karibia awe mzungu
Kumbuka unapo mnyoonyeshea kidole mwenzio na vidole vyengine vinakugeukia wewe.
Sasa basi usimnange mwanamke mwenzio kwa kutaka Like' na comment huku JF.
 
Anajaribu ku regret upumbavu aliofanya maishani mwake akiamini watu watamwonea huruma. Siku zote siku uwa hazigandi
 
Uyu dada anapenda mambo makubwa anadhani anaweza kuwa kama wale ma superstar wa marekani lifestyle za kina Rihana zinawatamanisha sanaa mpaka wanasahau kuwa wamezaliwa Tanzania wanatakiwa waikubali hali yao ya utanzania na maisha ya Tanzania ,kuna siku nilimsikia anasema yeye awezi kuwa na boyfriend ambae ajui English nilimshangaaa aisee nikajiuliza uyu ni mzima kweli English ni lugha tuu lakini yeye anaichukulia English swagger,akaja akaniuzi kusema wanaume wengi chupi zao zinanuka na kipindi icho yupo na GK msanii wa bongo flavor
 
Kumbuka unapo mnyoonyeshea kidole mwenzio na vidole vyengine vinakugeukia wewe.
Sasa basi usimnange mwanamke mwenzio kwa kutaka Like' na comment huku JF.
karibu jukwaani member, this is celebrities forum ukizoea utaelewa.... Karibu ukae kwa mkeka sahani za ubuyu zaja
 
Huo ujumbe mbona kama wa mtu anayetaka kujinyonga!
 
Back
Top Bottom