Hivi Nini kinapelekea walevi ( wakishalewa ) kulia, hasa zikipigwa nyimbo za gospel

Hivi Nini kinapelekea walevi ( wakishalewa ) kulia, hasa zikipigwa nyimbo za gospel

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Nimekutana na scenarios tatu za namna hii kwenye mikoa tofauti.

Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka

Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu nikulia TU utasema Kuna msiba.

Ni Nini Huwa kinasababisha?
 
Nimekutana na scenarios tatu za namba hii kwenye mikoa tofauti.

Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka

Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu nikulia TU utasema Kuna msiba.

Ni Nini Huwa kinasababisha?
Shiii nani kamwaga pombe yanguu naulizaaa jamanii kamwaga pombe yanguu naulizaaa jamanii kamwaga pombe yanguu naulizaaa

Me nshalewa nyaka nyaka nshalewa
Me nshalewa sijielewi nshalewa
 
Mi ni mnywaji mzuri sana, naweza kuingia saa 5 usiku nikatoka saa 11 asubuhi; binafsi mtu ukiwa tungi, zile nyimbo zinakuwa na msisimko fulani na unatamani ziendelee kupigwa, muhimu ziwe na mdundo mzuri na vina viwe vimepangiliwa vizuri ili kuongeza ladha kwa msikilizaji; kuhusu kulia sijawahi kuona, labda wale wanaokunywa pombe za kienyeji​
 
Nimekutana na scenarios tatu za namba hii kwenye mikoa tofauti.

Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka

Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu nikulia TU utasema Kuna msiba.

Ni Nini Huwa kinasababisha?
Wote aunt baaadhi?
 
Nimekutana na scenarios tatu za namba hii kwenye mikoa tofauti.

Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka

Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu nikulia TU utasema Kuna msiba.

Ni Nini Huwa kinasababisha?
kaswida unaweza kupandisha majini bar.

Na hiyo mida majini wanashirikiana na wachawi wanga na wengine ilimsikiti usije kuwasumbua
 
Mna utani na walokole. Kanisani kwao wakianza kupiga GOSPEL, wanaanza kububujikwa na machozi kama Lucas Mwashambwa.

Bar hazipigwi GOSPEL wala kwaya
Nimekutana na scenarios tatu za namba hii kwenye mikoa tofauti.

Mara nyingi inatokeo Ile mida mibovu yaani saa7 usiku kuendelea watu washachangamka, nashindwa kuelewa Nini Huwa inapelekea hii hali kutoka

Nishashuhudia mkoa Fulani huko Kanda ya ziwa, Dj alipiga nyimbo za gospel bar mzima watu nikulia TU utasema Kuna msiba.

Ni Nini Huwa kinasababisha?
 
Back
Top Bottom