Mdau Makini
Member
- Sep 18, 2012
- 70
- 10
Kweli hainiingii akilin jinsi wasaanii wetu wanavyo kufa kwa kasi.Yaani kwa mwaka wa jana(2012) tumepoteza wasaan maarufu wawili(R.I.P Kanumba & Sharo Millionea) Na leo hii tunaupokea mwaka (02/01/2013 siku ya pili kwenye mwaka) tumempoteza msaanii wetu maarufu(R.I.P SAJUKI).Sipati picha hii kasi itatufikisha wapi, anyway Mungu uwalaze mahali pema peponi wapendwa wetu walio tangulia mbele ya mkono wa haki, Mungu ibariki Bongo Movie, Mungu ibariki TANZANIA!! Ameni.