Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upungufu wa Roho Mtakatifu ndio ugonjwa unaowamaliza
mkuu kwani wanakufa peke yao?
tukiangalia kwa undani kwani ni percent ya waalimu wangapi, wanasiasa wangapi, na wakulima wangapi wamefariki kwenye miaka mitatu iliyopita
Nadhani kifo ni kifo tu na wote tunaelekea huko nadhani hapa tunauliza swali pasipo na swali (its normal watu wanazaliwa, na wanakufa) labda ni kuepuka tu vile vifo vinavyozuilika vya ajali na kuangalia afya zetu.
Tunaona wasanii wanakufa kwa wingi kwa sababu ni watu wanaofahamika kiurahisi, hivi unajua walimu, askari, wanafunzi wangapi wamefariki mwaka huu? Ungejua idadi yao ungeweza kulinganisha mkuu
Tunaona wasanii wanakufa kwa wingi kwa sababu ni watu wanaofahamika kiurahisi, hivi unajua walimu, askari, wanafunzi wangapi wamefariki mwaka huu? Ungejua idadi yao ungeweza kulinganisha mkuu
....cjui nichangie nini?
Kweli hainiingii akilin jinsi wasaanii wetu wanavyo kufa kwa kasi.Yaani kwa mwaka wa jana(2012) tumepoteza wasaan maarufu wawili(R.I.P Kanumba & Sharo Millionea) Na leo hii tunaupokea mwaka (02/01/2013 siku ya pili kwenye mwaka) tumempoteza msaanii wetu maarufu(R.I.P SAJUKI).Sipati picha hii kasi itatufikisha wapi, anyway Mungu uwalaze mahali pema peponi wapendwa wetu walio tangulia mbele ya mkono wa haki, Mungu ibariki Bongo Movie, Mungu ibariki TANZANIA!! Ameni.
asante sana.. nilikuwa nakuja hapohapo maelezo mazuri sana
Baada ya kufikiria ni vifo vingapi vinatokea hospitali kila siku,nikataka kumuuliza mtoa mada ni wasanii wangapi wamekufa.Lakini nilipojaribu kutumia sehemu ndogo tu ya akili yangu,nikagundua kuwa jamaa amefikiria kwa upeo wa umbali wa pua yake.Kwa hiyo sio tatizo lake,hapo ndipo uwezo wake wa kufikiri umeishia.
Hayo unayofikiri wewe nadhani ukienda kwenye jamii ya askari, walimu, nk utauliza hayo.
Mwaka jana kwa mfano kwenye tasnia ya sheria wamekufa si pungufu ya mawakili watatu, askari wa JWTZ si pungufu ya kumi wakiwemo waliowahi kuiletea sifa nchi hii. Wanasoka hawapungui wanne!
Fikra za ushirikina uanza hivi hivi kuhoji eti kwa nini fulani kafa.
Kinachowamaliza ni kifo
Ukitaka kujua chanzo ni hivi:
Kanumba alikufa kwa ajali iliyoambatana na kutumia kilevi na wivu wa mapenzi.
Kijoti na wenzie ajali pia nk.
Shalo milioni kwa ajali ya gari
Mzee Kipara, Sajuki, Mlopelo na Maganga kwa kuugua (iwe muda mrefu au mfupi ila waliugua).
Paka Mapepe ni matatizo ya uzazi
Hayo unayofikiri wewe nadhani ukienda kwenye jamii ya askari, walimu, nk utauliza hayo.
Mwaka jana kwa mfano kwenye tasnia ya sheria wamekufa si pungufu ya mawakili watatu, askari wa JWTZ si pungufu ya kumi wakiwemo waliowahi kuiletea sifa nchi hii. Wanasoka hawapungui wanne!
Fikra za ushirikina uanza hivi hivi kuhoji eti kwa nini fulani kafa.
Unaona hivyo kwa kuwa wanawatangaza. Kwa ujumla Tanzania watu wengi wanakufa kwa kukosa matibabu halisi, au ajali zinazoweza kuzuilika, ujambazi na vifo vingine vya kawaida. Ingawa ahadi nayo ikifika utaondoka tu. Hawa wengine hawatangazwi ndio maana. Wangekua wanakufa wao peke yao ndio ungeuliza hilo swali.Kweli hainiingii akilin jinsi wasaanii wetu wanavyo kufa kwa kasi.Yaani kwa mwaka wa jana(2012) tumepoteza wasaan maarufu wawili(R.I.P Kanumba & Sharo Millionea) Na leo hii tunaupokea mwaka (02/01/2013 siku ya pili kwenye mwaka) tumempoteza msaanii wetu maarufu(R.I.P SAJUKI).Sipati picha hii kasi itatufikisha wapi, anyway Mungu uwalaze mahali pema peponi wapendwa wetu walio tangulia mbele ya mkono wa haki, Mungu ibariki Bongo Movie, Mungu ibariki TANZANIA!! Ameni.