Cocacola hio ni global brand huwezi linganisha na chipsi, ni kati ya kampuni chache sana (kama nyingine zipo) ambazo zime-survive WW1, WW2 na Great economic depression.Mbona Coca-Cola inasemwa sana lakini kila siku unanswerable tu??
Tena hii bonge la biashara hasa ukikamata maeneo ya chuo umetoboa.Tuwe wakweli, chipsi yai imeshakumbana na conspirancy theories nyingi sana lakini hazijafanikiwa kuondoa umaarufu na kupendwa kwake, mara mayai feki, sijui mafuta ya transfoma lakini wapi, watu bado huwaambii kitu kuhusu chipsi yai iwe dar au mikoani.
Na ukienda huko mbagala ndani ndani au uswahilini wewe muhonge tu mtoto wa kizaramo chipsi yai na miguu ya kuku uone hayo mauno utakayopewa hapo
Tuambizane jamani, chipsi yai ina siri gani? Maana utamaduni huu sijaukuta nchi nyingine za afrika nilizobahatika kutembelea
Hiyo ni kwenu dar, huku mkoani hatu tongozi watoto wetu.Uko mkoani ndo usiseme, chipsi yai inasababisha msomi wa form 3 apewe mimba
Zinatusaidia vidume kuwala warembo.Ni noma sana
dear gambe ndiyo haijawahi kuchujaTuwe wakweli, chipsi yai imeshakumbana na conspirancy theories nyingi sana lakini hazijafanikiwa kuondoa umaarufu na kupendwa kwake, mara mayai feki, sijui mafuta ya transfoma lakini wapi, watu bado huwaambii kitu kuhusu chipsi yai iwe dar au mikoani.
Na ukienda huko mbagala ndani ndani au uswahilini wewe muhonge tu mtoto wa kizaramo chipsi yai na miguu ya kuku uone hayo mauno utakayopewa hapo
Tuambizane jamani, chipsi yai ina siri gani? Maana utamaduni huu sijaukuta nchi nyingine za afrika nilizobahatika kutembelea
Umenikumbusha kitu, zaman nilikua sishibi kabisa chipsi yai moja ila miaka ya karibuni moja tu nashiba kabisaSiku ya kwanza kula chips mayai nilikula nne ( 4) nakumbuka vizuri sana .Nikashindwa kupumua ikabidi nifungwe mkanda tumboni na magnesium za kutosha huku nikipigwa na mwiko tumboni.