Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Chips yai tamu sana yaani ukikatazwa kula hyo huna raha Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Alkuwa na ashiki zake tu zimepanda kichwaniTrue story: Mtoto wa kishua kabisa yani ila alinipa Tunda kwa Chipsi yai..
Hii kitu sijui ina nini na Mademu.. 🤔🤔
Mie nilidhan watoto wa uswahilini tu, kumbe hadi na wakishua.True story: Mtoto wa kishua kabisa yani ila alinipa Tunda kwa Chipsi yai..
Hii kitu sijui ina nini na Mademu.. 🤔🤔
😀Hahahahaa
Kachumba au sio, mke wangu huwa hawezi kusema kachumbari anaishia kachumba
HA!HA!HAMie nilidhan watoto wa uswahilini tu, kumbe hadi na wakishua.
Nlikua na demu zakheem pale enzi nasona, aisee siku nikinletea chipsi yai kakishiba tu utalijua jiji
Another Dar's man down, je Wahenga ambao hatujala chipsi tangu 2024 uanze tusemeje?Tuwe wakweli, chipsi yai imeshakumbana na conspirancy theories nyingi sana lakini hazijafanikiwa kuondoa umaarufu na kupendwa kwake, mara mayai feki, sijui mafuta ya transfoma lakini wapi, watu bado huwaambii kitu kuhusu chipsi yai iwe dar au mikoani.
Na ukienda huko mbagala ndani ndani au uswahilini wewe muhonge tu mtoto wa kizaramo chipsi yai na miguu ya kuku uone hayo mauno utakayopewa hapo
Tuambizane jamani, chipsi yai ina siri gani? Maana utamaduni huu sijaukuta nchi nyingine za afrika nilizobahatika kutembelea
Na kitamu piaChakula cha haraka kuandaa na rahisi kuhifadhi.
Katika hiyo misosi miwili, ni afadhali ya chips yai kuliko ugali kilo moja.Nadhani ni ongezeko la Wana Ume wa dar, ambao hiyo kitu Wana ila Kama chakula
akati huku mkoani hiyo kitu ni mboga tuna ila na ugali kilo 1.
Ndio, mfano makande kuna muda yalikua na kasi sana hadi kwa mama ntilie unayapata unless ww uwe mtoto wa juzi ndo hutonielewa
Kama hakiuzwi mahotelini basi kimepitwa na wakati