Dance Macabre
Member
- May 6, 2024
- 32
- 61
Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No Reforms no Election ya CHADEMA inapigania na mgombea binafsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kupoteza nguvu na wakati kirahisi na bure kabisa dah 🐒Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No reforms no surrender' ya TL inapigania na mgombea binafsi?
TotallySuala la mgombea huru ni la kukazia hukumu tu.
Hukumu ya kuruhusiwa uwepo wa mgombea binafsi inakazika? Ukazaji wake unakuaje?Suala la mgombea huru ni la kukazia hukumu tu.
Tuombe mwongozo toka kwa Pascal MayallaHukumu ya kuruhusiwa uwepo wa mgombea binafsi inakazika? Ukazaji wake unakuaje?
Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No reforms no surrender' ya TL inapigania na mgombea binafsi?
Tuombe mwongozo toka kwa Pascal Mayalla
Hukumu ile iliyoruhusu Wagombea binafsi nafikiri 'ilipinduliwa' na Mahakama ya Rufani. Hayati Mchungaji Christopher Mtikila hakutendewa Haki kwenye ile Kesi, iliamuliwa kihuni Sana ile Kesi.Suala la mgombea huru ni la kukazia hukumu tu.
Ni kweli, Ila Mahakama ya Rufani ya Tanzania ndiyo ilitengua Hukumu hiyo.Kama nakumbuka vizuri mahakama kuu iliamuwa kwamba kuzuia mgombea binafsi ilikuwa kinyume na katiba.
Mahakama ya Rufani ya Tanzania chini ya Jaji Mkuu wa wakati huo Augustino Ramadhan ilijipotosha na kutoa Uamuzi potofu ambao ulirejesha suala hili Bungeni ili likafanyiwe Uamuzi wa kurekebishwa kwa Sheria juu ya jambo hili. Uamuzi huo unakwenda kinyume na matakwa ya Katiba.Watawala wakafanya mabadiliko ya katiba haraka haraka kulazimisha wagombea wawe wanachama wa vyama vya siasa.
Ni kweli, hili nimelielimisha sana Ijue Katiba kwa Jicho la Mtunga Katiba: Mtunga Katiba alimaanisha nini aliposema "Katiba ni Sheria Mama"? Ni kweli Katiba ni Sheria Mama? Na Haki, Haki, Haki! Serikali, Bunge na Mahakama hazina uwezo wala mamlaka ya kupora haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Je, jicho ona litaliona hili?Mahakama ya Rufani ya Tanzania chini ya Jaji Mkuu wa wakati huo Augustino Ramadhan ilijipotosha na kutoa Uamuzi potofu ambao ulirejesha suala hili Bungeni ili likafanyiwe Uamuzi wa kurekebishwa kwa Sheria juu ya jambo hili. Uamuzi huo unakwenda kinyume na matakwa ya Katiba.
Chadema hawawezi kutaka uwepo wa mgombea binafsi. Wao kama ilivyo tu CCM au vyama vingine vya siasa, wanapenda kutumia udhamini wa chama kama fimbo au kontroo ya kum-monitor mwanachama aliye na uongozi wa cheo cha kisiasa au anayegombea uongozi wa nafasi ya kisiasa serikalini.Inawezekana kabsa CDM na wadau tunahitaji mabadiriko haya ya kikatiba, kisheria/kanuni, kimfumo na kimtazamo.
Ila tukubaliane tu njia ya maandamano imethibitika kutoweza kuleta matokeo tarajiwa.
Tunahitaji kusikia mbinu mpya.
Na kwa vyovyote vile mbinu hiyo si ya kuchekeana.
"Negotiation with a terrorist flourishes terrorism'