Hivi nyie mabinti mnaodate na wazee mko timamu kweli!?

Hivi nyie mabinti mnaodate na wazee mko timamu kweli!?

Wote wanaodate na vibabu iwe me/ke kinachosababisha hivyo ni umaskini na uvivu wa kutafta hela, dada inaonyesha kwenu nyie maskini ndo maana uko willing hata kulala na babu ili upate hela. cute b
Kuzaliwa kwenye familia ya kimasikini sio kosa.. Kosa ni kufa masikini..upoooo?
 
Hivi vibabu kuhonga vitz au passo kwa ghafla sio kitu cha ajabu kwao ni kama sisi kumpa demu laki sasa kwanini wasiende huko? vijana wenzangu tutafuteni pesa tutaishia kulalamika tu.
 
Wanasema wazee wana mapenzi ya kweli
Wazee hawana speed za kitoto na kukojoa faster wanaenda taratibu maneno matam ya kiubabu na Kimmel za muda mrefu binti alisha fika na kuchika na wanatia bila masharti
 
Vijana wengi mmekuwa wahanangwa, means mmepoteza uhalisia wa kuwa wanaume na badala yake mnapenda kuhudumiwa!!!
 
Binti miaka 21+ uko na mzee 70+ unamuita mpenzi, unamruhusu kabisa achezee mwili wako?, ni mapenzi au unasaka hela, umaarufu, unakomoa au ndo maisha yamekua ivo?
Imenibidi niombe kujuzwa kotoka kwenu kupitia huku Jf kwa wakubwa, maana huku mtaani kwetu imekua kama fashion mabinti kutoka na baba zetu.

tafuta hela mkuu,acha wivu.nani alikwambia wazee hawatakiwi kufaidi?
 
Ngoja nisindikize post kwa picha[emoji116]
7d807ddeed907db09c12924a19babc59.jpg



Note::Vijana tafuteni mtonyo mambo ya kujazia vifua kama roboti ni kujichosha.
 
Back
Top Bottom