Hivi nyie mliosoma EMS na Private schools, na huku maofisini tupo wote na tunawazidi mishahara mnajisikiaje, kuzidiwa na sisi wa St Kayumba?.

Hivi nyie mliosoma EMS na Private schools, na huku maofisini tupo wote na tunawazidi mishahara mnajisikiaje, kuzidiwa na sisi wa St Kayumba?.

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,707
Reaction score
11,365
Eti nyie wazazi mnajisikiaje yaani watoto wenu wamesoma kwa gharama kubwa, halafu huko maofisini walipoajiriwa wanazidiwa Mishahara na watoto wa ST KAYUMBA.

Hivi hamuumii kama watu waliochoma Chanjo ya corona, wakituona ambao hatujachanja tunaishi vizuri?.

Maana huku ofisini naona watu wamesoma Feza/St Francis, chuo Sweden na Netherland lakini mshahara nawazidi, wananionea wivu kinyama.

Endeleeni kupoteza ada wazazi, kama mwanao zimo zimo tu na darasani atawakimbiza haijalishi kasoma wapi..

Hebu mfano Muangalie Lissu/Kibatala halafu linganisha na wanasheria baadhi waliosoma private schools utaelewa maana ya kama zimo zimo tu.
 
🤣🤣 wote maskini mnatambiana tu hamna lolote ! Aliyesoma English Medium ni Kayumba iliyochangamka yenye huduma bora za kijamii tu ! wote mnasoma mtaala wa kijinga na kufanya mitihani ya NECTA na hamna impact yeyote kwenye jamii ubunifu hamna , mna ulimbukeni wa ofisi.

Aliyesoma international school huyo ndo anaweza kutamba hapa kwa kusoma mtaala wenye manufaa !!
International School of Tanganyika na wenzie kama hao !
 
🤣🤣 wote maskini mnatambiana tu hamna lolote ! Aliyesoma English Medium ni Kayumba iliyochangamka yenye huduma bora za kijamii tu ! wote mnasoma mtaala wa kijinga na kufanya mitihani ya NECTA na hamna impact yeyote

Aliyesoma international school huyo ndo anaweza kutamba hapa kwa kusoma mtaala wenye manufaa !!
International School of Tanganyika na wenzie kama hao !
Na bado kuna aliyesoma kayumba kamzidi wa international school kipato

Ukubwa wa kipato unategemea vigezo vingi, ambavyo kwa kiasi chake havifafanuliki
 
Eti nyie wazazi mnajisikiaje yaani watoto wenu wamesoma kwa gharama kubwa, halafu huko maofisini walipoajiriwa wanazidiwa Mishahara na watoto wa ST KAYUMBA.

Hivi hamuumii kama watu waliochoma Chanjo ya corona, wakituona ambao hatujachanja tunaishi vizuri?.

Maana huku ofisini naona watu wamesoma Feza/St Francis, chuo Sweden na Netherland lakini mshahara nawazidi, wananionea wivu kinyama.

Endeleeni kupoteza ada wazazi, kama mwanao zimo zimo tu na darasani atawakimbiza haijalishi kasoma wapi..

Hebu mfano Muangalie Lissu/Kibatala halafu linganisha na wanasheria baadhi waliosoma private schools utaelewa maana ya kama zimo zimo tu.
Una akili nyembamba
 
Hivi vitu mbona kama havina mantiki hivi 😅😅😅tuleteeni mada za namna ya kujikwamua kiuchumi.

Hivi vingine achieni watoto wabishane.
🤣🤣 Humu watakupa story zote , watajisifu wanavyoweza , watatangaza umahiri wao, walivyo na wake na waume wazuri , show za kitandani wanavyoziweza , Gari zote nzuri wameendesha tena, walivyosafiri duniani ! Wakimaliza watakunanga kwanini huna hela , kwanini unaendesha boda boda 🤣

Ila kukupa deal la pesa au jinsi ya kufika huko nje hizo mada sahau kabisa
 
Hivi vitu mbona kama havina mantiki hivi 😅😅😅tuleteeni mada za namna ya kujikwamua kiuchumi.

Hivi vingine achieni watoto wabishane.
Wasomi wetu hawana aibu wapo wanaopeleka vyeti bar ili kulingishia huku analala na mitungi ya gesi ndani...
 
🤣🤣 Humu watakupa story zote , watajisifu wanavyoweza , watatangaza umahiri wao, walivyo na wake na waume wazuri , show za kitandani wanavyoziweza , Gari zote nzuri wameendesha tena, walivyosafiri duniani ! Wakimaliza watakunanga kwanini huna hela , kwanini unaendesha boda boda 🤣

Ila kukupa deal la pesa au jinsi ya kufika huko nje hizo mada sahau kabisa
Ulichoandika ni kweli kabisa, nimejaribu kusoma namna ya kujikwamua kiuchumi katika maandiko mbalimbali bado sijaelewa 😅😝
 
🤣🤣 Humu watakupa story zote , watajisifu wanavyoweza , watatangaza umahiri wao, walivyo na wake na waume wazuri , show za kitandani wanavyoziweza , Gari zote nzuri wameendesha tena, walivyosafiri duniani ! Wakimaliza watakunanga kwanini huna hela , kwanini unaendesha boda boda 🤣

Ila kukupa deal la pesa au jinsi ya kufika huko nje hizo mada sahau kabisa
Mzala unatujua Watanzania vizuri ngoja niishie hapa hapa usije ukaniweka kwenye hilo kundi la Wasizwa..
 
Unasoma kwa English halafu mtaani kinatamba kiswahili na ukilazimisha kuongea kiingereza unaonekana kama Michele mchele
 
Back
Top Bottom