RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #21
Una akili chafu sana.Una akili nyembamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una akili chafu sana.Una akili nyembamba
Unakuta yeye ndio mwenye Elimu kwa hiyo anaona kitu cha kutangaza kweli niliwahi kwenda Uchagani huko nikamkuta mbibi anasema anataka amtumie mjukuu wake hela alipie mitihani ya bodi ya uhasibu kwenye hiyo familia sahau kukuta hizi mambo unakuta watoto wamesoma harafu hawana mambo za kishamba..Halafu naona kama kuna watu sijui ni ulimbukeni 😅😅😅
MnoUna akili chafu sana.
Tatizo maskini sasa hawaelewi hata ukiwaelewesha!Sioni umuhimu wake mimi😅😅😅kila mtu afanye anachoona kwake ni Bora.
Eeehe matajiri wa JF wakunjue moyo ! Tupeni deal tushindwe ndo mtuseme hatuna akili !Mzala unatujua Watanzania vizuri ngoja niishie hapa hapa usije ukaniweka kwenye hilo kundi la Wasizwa..
Sindano uliyoichoma imegonga mshipani🤣🤣🤣taratibuWanajisikia kama ambavyo unajisikia wewe uliyesoma halafu unazidiwa kipato na wale ambao hawajasoma kabisa.
Mimi sio Tajiri ni msaka nyoka tu kama wewe karibu Johannesburg,SA ila uje na mtaji hata kidogo ununue vitu urudi kuuza au utume huko Tanzania hapa vipo vitu vingi na bei ndogo kama China na vina ubora ni wewe utataka uuze nini nje ya SA..mimi nauchukia umasikini ukiniuliza chochote wakati wowote ntakujibu masikini mwenzangu...Eeehe matajiri wa JF wakunjue moyo ! Tupeni deal tushindwe ndo mtuseme hatuna akili !